Recent content by Doctor Joule

  1. D

    Msaada chuo cha St Joseph university Tanzania engeneering and technology

    asante kaka, lakini nimechaguliwa facult ya education in physics, instute ni st joseph university of engineering and technology, ni sahihi kama ulivyosema Kuwa ni dar? au hapo hakuna facult ya education?
  2. D

    Msaada chuo cha St Joseph university Tanzania engeneering and technology

    oi hivi Ukiandikiwa kwamba March umechaguliwa st joseph university of engineering and technology ni wapi? maana hawaja specify campus
  3. D

    St. Joseph College of Health and Allied Science

    oy! mimi nimechaguliwa st joseph lakn hawajaspecify ni campus gan hapo vp wadau?
  4. D

    Kwa wale waliochaguliwa SUA tuonane hapa

    oy! Mimi nahitaji kufanya transfer kuja hapo SUA nipeni ushauri nifanyaje kukamilisha transfer?
  5. D

    Selection vyuo vikuu: Fomu ya kujiunga, taarifa za vyuo na kozi

    mim nauliza jinsi gani ntaweza kufanya transfer kutoka chuo kimoja kwenda kingine nifanyajee?
Back
Top Bottom