It is not the first time Ebola kulipuka Congo na inaonekana wanaweza kuicontain all the time, I don't know why west Africa wasijifunze kutoka Congo wanafanyaje mpaka wanaidhibiti? mi naamini hata this time utasikia imedhibitiwa tu huko Congo, hofu yangu ni itakapoingia hapa kwetu bongo hapo...
Kwa sisi waafrika mtoto ni muhimu sana ndio maana hatuna utamaduni wa kuadopt watoto yaani hata kama mtu ni maskini vipi lakini anataka mtoto wake amlee mwenyewe, sijajua una hali mbaya kiasi gani mpaka uone kama huna uwezo wa kumlea huyo mtoto kama una uwezo wa kuwa na access na internet mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.