Wakuu naomba kama kuna mtu mwenye hizo nyinmbo anisaidie kupandisha hapa:
1. Asuuu wangu- (msanii simjui)
2.Mc Trick wa Kenya (comedian) kuna nyimbo huwa anaingia nayo kwenye show kama ragga flani hiv
3. One way- lucian Bokilo
4. Buzi langu- Serengeti Band
Natanguliza Shukrani 🙏 🙏
Habari wanazengo?
Mwezi ulipoita nilichukua simu aina ya Infinix hot 12 play nikawa natumia lakin charge yake nikasahau Mkoa flani na mimi nikaenda mkoa mwingine sasa nikawa naitumia na simu ilikuwa na asilimia 100% na ilipokuwa inapungua nikawa natumia charge ya infinix lakini tofauti na...
Daaah! hii kitu sitakaa niisahau aisee kuna siku nilikuwa na kapisi flan hiv chuoni kipindi hicho sasa kalikuwa kananipenda kweli wazee, kuna siku akaniambia niende geto kwake nikasema fresh kummbe ni trap nawekewa lakini akili ikadetect kitu nikasema ngoja niache smart niende na kinokia torch...
Kwa mimi nilivyowaza na akili zangu za jioni kwa huyu binti kuna vitu viwili Mosi, huyu binti anafanya anacho kipenda (check body language yupo confortable means hajalazimishwa) Pili, inawaeza ikawa kweli anahusika direct or indirect kwenye umiliki na usimamizi wa hizo Tilisho Bus(mchaga ni kama...
kesi ya kuua sio kesi ya kuiba kuku au kumtukana mtu kaka watu wamekaa chini wakaaumiza vichwa na mahakama ipo kusikiliza pande zote ndo maana hata ukienda polisi mtuhumiwa mwenye akili anakwambia maelezo yangu nitayatoa mahakamani 🤔 🤔
wewe uhakika unajulia wap au ulikaa ukawahoji, ulikuwepo kwenye tukio? sometimes muwe mna reason vitu vya maana bas msikurupuke na 🤔🤔 nenda kasomee maana ya rufaa halaf uje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.