anaanza kumwaga ugali baada ya CAG kumwaga mbonga. watatajana mpaka mwisho. mwanzo alijitapa kwa kubuni mradi wa upimaji viwanja chini ya UTT baada ya CAG kubaini madudu anadai hakushiriki. mtu mzima hovyo
HATIMAYE Meya wa Bukoba, Dk. Anatory Amani (CCM) (pichani) ameamua kufunguka na kuweka wazi ufisadi unaofanyika ndani ya Halmashauri ya Bukoba. Mbali ya ufisadi huo, ameainisha udhaifu na upendeleo wa Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), alioufanya wakati wa ukaguzi ndani ya...
hii ndiyo kauli ya mjumbe wa CDM wilaya siyo? ngoja nikusaidie wewe. kikao kinafanyika high way rwamishenye kwenye stand ya tax kwa mzee kabigumila. na hivi sasa natoka hapo wahudumu wanapanga viti. kama huna taarifa nakupatia sasa. pole sana lakini si kosa lako.
Siasa za tanzania ni kama movie vile. Cdm bukoba mjini wakiwa katika harakati za kuchukua jimbo hilo kutoka mikononi mwa Kagasheki CCM baada ya wao kugawanyika baada ya kumtema meya wao kwa ufisadi,sasa mbowe naye amewakoroga viongozi wa CDM mjini bukoba na kulazimisha wahitishe kikao cha...
kajidanganye na danganya wanaodanganyika. Chadema kagera ni uchuro tu. kwanza hawana hata ofisi .hizi tabia za kuendesha chama kwa operesheni hakika mtayavuna mabua. vikao vya chama vikanfika hotelini.
endelea kuwadanganya watu kupitia mitandao,mwishoni watakuja kupiga kura. muulize huyu Ta...
Tafadhali Manyerere Jackton update kwenye post ya kwanza. ili tuweze kukufuatilai vema.
unachotakiwa kufanya ni kuedit tu post yako ya kwanza kila mara au akina Paw na Invisible wasaidie katika updates ya maana
RC masawe ni kibaraka wa Meya,alishavuta mpunga.
kwa nini hasishawishi CAG akawasilisha ripoti yake? kwa nini hasikubali Meya akaa pembeni kwa siku moja wakapitisha bajeti?.majibu ya maswali haya utaelewa RC yuko upande gani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.