Recent content by dj afro fan

  1. dj afro fan

    The hidden identity of Jesus and the Son of Man

    Hakika ni ni kweli.. amina
  2. dj afro fan

    Namna ya Kufungua Jicho la Tatu

    Mwili kuwa na tamaa ya kutaka kuutazama huo uzuri wake
  3. dj afro fan

    Namna ya Kufungua Jicho la Tatu

    Amani iwe nawe,... Samahan, Energy za watu ni nini? Na kuna aina ngapi za energy za watu. Zieleze kwa ufupi na ufasaha ili nijue kama tayari nisha fungua jicho la tatu
  4. dj afro fan

    Kuna uhusiano gani kati ya cable tow (kamba ya utambulisho wa Freemason) na Spiritual chills kwa watu ambao sio Freemasonry?

    tafadhali soma hili na nisaidie kuelewa kinachotokea kwangu. Mimi kijana wenu wa Kitanzania, nina hizi spiritual chills energy (nguvu za kiroho) ambapo watu wengine wanaweza kuzihisi wakati ambao nitakuwa karibu nao, mtu atasikia kaubaridi mwilini mwake. Hali hii hupelekea watu wengine...
  5. dj afro fan

    Kuna uhusiano gani kati ya cable tow (hii kamba ya utambulisho wa Freemason) na Spiritual chills kwa watu ambao sio freemasonry

    Kuna uhusiano gani kati ya cable tow (hii kamba ya utamburisho wa Freemason) na Spiritual chills kwa watu ambao sio freemasonry. Tafadhali soma hili na nisaidie kuelewa kinachotokea kwangu. Mimi kijana wenu wa kitanzania, nina hizi spiritual chills energy (nguvu za kiroho) ambapo watu wengine...
  6. dj afro fan

    Kwa sisi tuliopata neema au zawadi kutoka kwa Mungu ya kuwa wabaridi, watu wengi hutuita maji

    Tujinyenyekeze kwa Bwana Yesu hakika bila NEEMA yake tutapoteza haki za nafsi zetu. Mwovu shetani anatudhulumu sana hadi tunapoteza akili na fahamu ya kujua ipi ni haki yako kimsingi na hata ukifanya sio dhambi, mfano naweza kujiita hata mavi kwani dhambi ni ipi hapo? Tuishi kufuata amri 10...
  7. dj afro fan

    Kwa sisi tuliopata neema au zawadi kutoka kwa Mungu ya kuwa wabaridi, watu wengi hutuita maji

    Tujinyenyekeze kwa Bwana Yesu hakika bila NEEMA yake tutapoteza haki za nafsi yenu. Mwovu shetani anatudhulumu sana
  8. dj afro fan

    Njia ipi nzuri ya kumtoa mtu kwenye uraibu wa imani ambayo sio sahihi?

    Acha mtu amini anacho amini boss. Imani hauchezewi Wala huna haki ya kumshawishi mtu aachane na Imani yake
  9. dj afro fan

    Kwa sisi tuliopata neema au zawadi kutoka kwa Mungu ya kuwa wabaridi, watu wengi hutuita maji

    Umetafsiri vizuri sana kuhusu nilichokuwa na maanisha. "Ni heri kuwa Moto au baridi asema Bwana" na Ole yake awaye vuguvugu maana hasira ya Bwana ipo juu yake
  10. dj afro fan

    Kwa sisi tuliopata neema au zawadi kutoka kwa Mungu ya kuwa wabaridi, watu wengi hutuita maji

    Ukiamini Mungu hayupo nayo ni sawa ni Imani pia na itakulinda,
  11. dj afro fan

    Kwa sisi tuliopata neema au zawadi kutoka kwa Mungu ya kuwa wabaridi, watu wengi hutuita maji

    Mm sio Mchungaji, lengo la kukusanya hawa ndugu zangu ni kushea energy na jins ya kuilinda isipotee
Back
Top Bottom