Mwaka 2024 umetupisha, Nilipitia vitabu kadhaa, filamu kadhaa, albums kadhaa za muziki kwa mwaka huo wote. Nimeandaa list yenye baadhi ya nilivyovipenda zaidi.
VITABU
Mwaka huu nilisoma vitabu vitatu na hii ndio review yangu kwa ufupi kwa kila kimoja.
1. Ujamaa - Essay on Socialism - The late...
HITAJI LA MATUMAINI LINAMEA
Mwaka 2010 aliyekuwa Askofu mstaafu wa kanisa la kilutheri Tanzania (ELCT), marehemu Ambilikile Mwasapile alitangaza kuwepo kwa dawa inayotibu magonjwa yote ikiwamo magonjwa sugu kama Ukimwi, Kisukari, Kansa na Kifua kikuu dawa ambayo kwa mujibu wa maelezo yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.