Recent content by diudebsy

  1. D

    Mwanamke akishinda urais mumewe ataitwa nani na atafanya kazi gani?

    Habari wana JF, Leo nataka niwaulize swali moja hivi la kizushi. Tunajua kwa kawaida mgombea wa kiume akishinda uchaguzi wa Rais na kuwa Rais basi mke wake anakuwa FIRST LADY na akiwa first lady huwaga na kazi za kuwahamasisha kina mama katika kujiamini na kufanya shughuli mbalimbali za...
  2. D

    TCU watatoa lini rasmi majina ya waliochaguliwa kwenda chuo kikuu 2016/17

    Jamani wana JF kwa anayejua TCU wanatoa lini rasmi hayo majina naomba anijuze maana kila nikiingia kwenye account yangu haifunguki.
  3. D

    Wazoefu wa relationships naombeni ushauri

    hahaha yaan unakosa confidence kisa chunusi?.....hzo chunusi znatibika,,,, tafuta dawa ya chunusi km ukishindwa kupata njoo huku JF andika uzi natafuta dawa ya chunusi wataalam watakusaidia maana najua wapo Afu mbona unachagua chagua sana wanawake,,,, sikuzote mchagua naz huambulia...
  4. D

    Itungwe sheria ya kuwabana wafanyabiashara kupisha mizigo bandarini

    tunga ww hyo sheria xio unaongea tu
  5. D

    Kwa hili la Zanzibar, Dr. Magufuli ana hoja

    kwan kukataa kumpa mkono raisi ndo kuvunja sheria??????? Alichokataa ni kumpa mkono tu ila vitu vingine vipo km kawaida...... na hilo swala la kupeana mikono xio swala la kisheria ila personal interests tu za mtu..... na ndomana Dr. shein alichukulia kawaida tu
Back
Top Bottom