Recent content by ditto wa ditto

  1. D

    M4C yatekwa na Friends of Lowassa

    Nyie ukawa(chadema) ni manyumbu kweli akiingoza mmoja tuu wore mnafuata,pumbavu kweli nyie.
  2. D

    Kama Kenyatta alipata urais, basi hata Lowassa ataupata tu

    Siipendi ccm lakini namchukia zaidi fisadi EL.
  3. D

    Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

    Hakuna mjadala in kupiga chini fisadi papa EL,hatumtaki ng'oo.
  4. D

    Ripoti ya kikao cha suluhu kati ya Dk. Slaa na Mbowe

    Huyu jamaa in bingwa Wa kutunga.
  5. D

    Nape ndiye anafukuza wanachama wa CCM kwa maelfu

    Nape Mnawiye na kauri zake za kuropoka ropoka ndizo zinasababisha wanachama wa CCM wanakihama chama kwa maelfu, kada huyu kweli hana kabisa mvuto , inadhihirisha pasipo shaka yoyote na mwenyekiti wake Kikwete hana uwezo wa kufikiri kwa sababu alitakiwa kuwa amemfukuza kwenye nafasi aliyonayo...
  6. D

    Tundu Lissu ameanza kuishi kwa uwongo na udanganyifu!!

    Nyie ukawa ni mapimbi kweli.yaani nyie hata la ukweli bado mnapinga kwani amuoni kuwa Lisu aliongopa?jengeni hoja sio ushabiki,kujenga kwenu hoja kutasaidia hats wale waliopoteza imani kurudi kundini.
  7. D

    Lipumba: CCM ina wagombea wawili, Lowassa na Magufuli

    Akihojiwa na Azam Tv katoka Rwanda. Prof. Ibrahim Haruna Lipumba, amesema yafuatayo : "sasa chakushangaza safari hii CCM wanawagombea wawili wa urais mmoja anagombea kwa CCM na mwingine anagombea kwa Ukawa anaitwa Lowasa....wote ni CCM tu...sio wanamageuzi hao...Watanzania wasidanganywe..."...
  8. D

    Viongozi wa kamati za Dini ya kiislam wamlipua Lowassa, Wasema hatoshi kuwa Rais

    Fisadi EL hawezi kuwa rais wetu labda huko kwenu kaskazini.
  9. D

    Mume wa kiislam anahitajika

    Usikate tamaa ongezasubra,dua mungu atafungua njia ya kheri.
  10. D

    Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    EL alitumia pesa nyingi kutaka kuwanunua ccm ameshndwa,lkn kafanikiwa kumnunua Mboje .wananchi lazima tumwaadabishe fisadi EL.
  11. D

    Kuitoa CCM ni ndoto ya mwendawazimu

    Tunaimani Na Magufuli,nyie bakini na fisadi lenu EL
  12. D

    SAY YES to LOWASSA,Wote wapenda mabadiliko tujoin hapa

    Hivi ni Lowasa huyu huyu fisadi au kuna mwingine?kama ni huyu fisadi mie no to Lowasa.
  13. D

    Lowassa ameteka media huku Magufuli akiteka raia

    Ccm oyeeeee.kidumu chama cha wananchi Na sio chadema chama cha wachaga.
Back
Top Bottom