Recent content by DITOPILE WAPILI

  1. DITOPILE WAPILI

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaharakati wa Kenya wanahangaika sana na mambo ya ndani ya siasa za Tanzania wakati Tanzania hatuhangaiki na zao?

    AFRICA tuna neno UBUNTU Maana yake wao Wapo kwa sababu sisi tupo, na sisi tupo kwa sababu wao Wapo. Jambo lolote liwe zuri au baya likitokea hapa Tanzania, Kenya nayo inapata. Mfano machafuko ya nchi yakitokea hapa Tanzania, Kenya nayo itahathirika kijamii, Kiulinzi na Usalama hata Uchumi...
  2. DITOPILE WAPILI

    JamiiForums Tanzania Wako wapi John Heche na Mnyika tangu kukamatwa kwao hakuna mrejesho wowote

    Toka Asubuhi tumesikia John Heche na Mnyika wamekamatwa na Polisi, lakini hakuna habari kuonesha wako wapi hadi muda huu.
  3. DITOPILE WAPILI

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

    John Mnyika ni hazina kubwa ya nchi, ni kiongozi mwenye matumizi mazuri ya ubongo wake, katika nyakati hizi anahitajika sana kuwa katibu mkuu wa CHADEMA
  4. DITOPILE WAPILI

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Wagombea wa CHADEMA waenguliwa kwenye kinyang'anyiro kisa hawana kazi ya kuwapatia kipato halali

    Uchafu kama huu tunaweka humu 🚮🚮🚮
  5. DITOPILE WAPILI

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe Ahudhuria Ibada ya Mazishi ya Mama yake Halima Mdee

    Mbona nyumbani Kwa Kina Halima Mdee, palipo kuwa na msiba, Ubungo Kibangu kulipambwa na bendera za CHADEMA. Kuanzia Barabara Hadi getini, baadhi ya makamanda wa CHADEMA walikuwepo.
  6. DITOPILE WAPILI

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe Ahudhuria Ibada ya Mazishi ya Mama yake Halima Mdee

    Mbona nyumbani Kwa Kina Halima Mdee, palipo kuwa na msiba kulipambwa na bendera za CHADEMA. Kuanzia Barabara Hadi getini, baadhi ya makamanda wa CHADEMA walikuwepo.
  7. DITOPILE WAPILI

    JamiiForums Tanzania Vita kati ya Hamas na Israel ni kati ya dini na dini au ni kati ya Taifa na Taifa??

    Ni Vita Kati ya wayahudi vs Islamic, Mabepari wamehita Hamas vs Israel ili kupumbaza ulimwengu tu. Uingereza na washirika wake ndiyo wapo nyuma ya Hii vita.
  8. DITOPILE WAPILI

    JamiiForums Tanzania Habari Njema: JF ina Jukwaa la kufichua maovu, Wafichuaji hawatajulikana

    Naomba kuunganishwa kwenye jukwaa la kufichua maovu
  9. DITOPILE WAPILI

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Julius S. Mtatiro aapishwa kuwa Wakili

    Ifakara secondary alikuwa kiongozi, halafu alikuwa mnoko sana, kuna siku alimletea noma mshikaji anaitwa victor Mtitu aka Mdundo. Issue ilikuwa ndogo lakini ilifika mpaka kwa walimu.
  10. DITOPILE WAPILI

    JamiiForums Tanzania Leo ni Idd El Fitr Dunia nzima isipokuwa Tanzania

    Elimu ya kuandama kwa mwezi ni elimu kubwa sana, mpaka leo duniani wanazuoni bado wanabishana kipi kipo sahihi, lakini Quran imesema hivi funga au fungueni swaum ramdhan kwa kuuona mwezi. Kama hawajauona basi Insha Allah wakiuona watafungua. Hata nchi za Oman na Saudia Rabia, mwezi ukiandama...
  11. DITOPILE WAPILI

    JamiiForums Tanzania NSSF mnawatesa Wajawazito wa Fao la Uzazi; Customer Care mbovu ofisi za Ubungo

    NSSF TEMEKE pale sokoni ILALA NI Tatizo tena kuna changamoto kubwa tu, NSSF wana bima ya afya kwa wananchama, hiyo BIMA ilivyo kama kifurushi mawasiliano, unaenda hospitali ukiwa mgonjwa unaambiwa huduma hakuna kifurushi chako kimekwisha, nenda kwenye OFISI YA NSSF uka update. Mgonjwa...
Back
Top Bottom