Recent content by Distinction

  1. Distinction

    PreGE2025 Mabalozi watakaohudhuria kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu et al, Wafukuzwe kutoka nchini

    wanakurupuka tu, hawa madogo hawaelewi chochote...
  2. Distinction

    Hizi Cruisers Mpya J300 na Prado J50 hakuna Manual Transmission. Sahivi na sisi Madereva wa Serikali tunaenjoy utamu wa Auto!

    Kumbuka hakuna uchaguzi wa bei rahisi.. Ndio maana viongozi wetu wanalindwa Kwa gharama kubwa.. Kuhusu kujengwa Kwa vituo vya afya kila KATA ndio dhamira na Lengo kuu la serikali yetu Pendwa ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Muhimu mwezi wa kumi tumpe mama mitano tena.
  3. Distinction

    Wakili Mwabukusi: Tundu Lissu sio malaika lakini yeye ndio chaguo sahihi kwa CHADEMA

    Ni sahihi. Watanzania wamechoshwa na Drama.
  4. Distinction

    Ipi hatima ya CHADEMA baada ya minyukano inayoendelea?

    Ukitaka maswali Yako hayo yapate majibu ni lazima kwanza ujue yafuatayo: 1. Nini kilimtoa Zito kabwe, Dr. Slaa na wengine wengi mashuhuri CHADEMA? Ndipo utajua hii vita haijaanza Jana ni muendelezo na aliekiamsha anastahili pongezi japo ndio wao kwao wanamuona adui, mropokaji etc.. Vita ya...
  5. Distinction

    PreGE2025 Mkiambiwa Mbowe hatoboi muwe mnaelewa

    Nimeona Jana: star tv inavoonekana Hawa wamezoeana na hizi aibu.. yaani Jana huyo jamaa na mwenzake anamzalilisha kwanza Hadi Nyerere.. yaani wanaongea pumba tupu na mwenzake NTOBI..
  6. Distinction

    Erick Kabendera kupitia Kitabu chake: Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

    Hii nchi bhana, kwani kitabu anauza akiwa wapi tujue pia...? Mbagala, Mwanjelwa, au ... anyway Yatapita tu...
  7. Distinction

    English Medium ziko Ovarated sana. Hakuna elimu pale zaidi ya utapeli. Shida ni tumekuwa Brainwashed sana

    Soma vizuri Alichoandika... Chukua point ya msingi . Mtoa mada Lengo lake ni jema kabisa
  8. Distinction

    Kilindi:Shule ya mama Samia yavunjwa vioo na wezi.

    😆😆Hapana Brother, ulivosema Shule ya mama SAMIA ulinishtua mwanzo nikajua Shule iliyopo jilani hapa.. Mi sio mtu wa ligi🤝🤝🤝HERI YA MWAKA MPYA BROTHER..
  9. Distinction

    Kilindi:Shule ya mama Samia yavunjwa vioo na wezi.

    Unaposema Shule ya mama SAMIA alafu ndani tunataka jina la Shule nyingine, huo ni mkanganyiko wa habari. Kumbuka Kuna Shule zinaitwa Kwa jina hilo.... Angalizo: Muda mwingine sio lazima wote tuwe watoa habari waachie waliosomea..Sisi kazi yetu ibaki kutoa maoni tu..
  10. Distinction

    Kilindi:Shule ya mama Samia yavunjwa vioo na wezi.

    Kichwa Cha habari kimekaa kichochezichochezi, ilitosha kutaja jina la Shule na mmiliki tu ambaye ni serikali.. Anyway, waovu hao watafutwe mchana na usiku, wanarudisha nyuma maendeleo ya nchi.
  11. Distinction

    Chalamila: Nasisitiza nikifa nizikwe kama waislamu siyo kiislamu. Tunafanya misiba ya kifahari baada ya miezi 2 watoto wanafukuzwa ada

    Mi kwangu nimeelewa kama ni ushauri hususani Kwa jamii inayomzunguka... Na hajatoa maelekezo Kwa jamii. Na hajazuia maana Kun Wenye uwezo wa kufanya hayo na maisha yakaendelea vizuri tu.. Nb: Kikubwa watu waache kujiingiza kwenye gharama zisizo za msingi .. sasa Brother fikiria mtu anaingia...
Back
Top Bottom