Recent content by dist111

  1. dist111

    JamiiForums Tanzania Una miaka zaidi ya 50 halafu unaenda kununua kiwanja kwa Milioni 500. Pesa yako itarudi lini?

    Mimi nimeshafanya haaya kwa kizazi changu na kipawa mungu alichonjaalia, I am comfortable wanangu watasoma mpaka madarasa yawabomokee, na wataishi mjini, na kipato cha uhakika hata wasipofanya kazi. Kazi kwako kalagabaho
  2. dist111

    JamiiForums Tanzania Una miaka zaidi ya 50 halafu unaenda kununua kiwanja kwa Milioni 500. Pesa yako itarudi lini?

    Ajili ndogo utazijua tu, Hawa ndo wenye kichwa kama ubuyu, Ina maana hujui kuwa kila generation inakazi yake kwenye jamii, Wewe endelea kuwaza hivo hivo halafu mtoto wako aje kuokota makopo, kama ndo kazi yake. Maana kwa kizazi kijacho usipocreate Ajira kwa wanao hatakuwa na ajira labda ya...
  3. dist111

    JamiiForums Tanzania wana JF waislam mtusaidie tukate mzizi wa fitna, je ni kweli tangu mkiwa wadogo mlifundishwa na wazazi, madrasa, au misikitini kutuchukia wakristo ?

    1. Sisi waislamu hatuli kwenu kwa sababu tunajua mnachopika hakijachinjwa vzr, Ndo maana zamani jirani mkiristo anaita mtoto wa jiran muislam amchinjie kuku, ili kumhakikishia kuwa hana shida au yeye pia anakula kwa misingi mizuri. Tukijua kuwa mkiristo nazingatia kulavzr kwa mfano hauli...
  4. dist111

    JamiiForums Tanzania Serikali ya CCM Leo wamekaa kikao Melia hotel Vienna huku tukijitahidi kubana matumizi ya Serikali. Je hii ni sawa?

    Lazima Tanzania iitwe kwenye vikao vya Atomic, Au hujui kuwa tumempa Mrusi madini, na nguvu kubwa itatumika Mrusi aondoke kuchimba Uranium, Mostly, hivi vikao viko paid na partner countries, ila makamo wa raisi au raisi huwa halipiwi safari zake, ofisi inamlipia
  5. dist111

    JamiiForums Tanzania Serikali ya CCM Leo wamekaa kikao Melia hotel Vienna huku tukijitahidi kubana matumizi ya Serikali. Je hii ni sawa?

    Trust me, side meetings ni jambo la kawaida, Mara ya kwanza kuliona ilikuwa TICAD7, Wakati wa kikao cha Japan na Africa, nilienda na issue zangu, nikaunganishwa kwenye delegates wa Tanzania katika vikao vya uwekezaji, So rooms zilikuwa zipo za kutosha, wajapani wakijadilinana na watamzania...
  6. dist111

    JamiiForums Tanzania Serikali ya CCM Leo wamekaa kikao Melia hotel Vienna huku tukijitahidi kubana matumizi ya Serikali. Je hii ni sawa?

    Acha fujo, Hizo ni side meetings za vikao, mostly mkienda kwenye vikao vya kimataifa wanaandaa rooms kwa ajili ya side/Private meetings za viongozi/delegates Najua viena kuna kikao cha atomic kinaendelea, possible delegation hii ilienda kwenye kikao hiko, na wakaomba private room kufanya...
  7. dist111

    JamiiForums Tanzania Una miaka zaidi ya 50 halafu unaenda kununua kiwanja kwa Milioni 500. Pesa yako itarudi lini?

    Akili ndogo shida saana, Unajiwazia wewe Tu, unashindwa kujua kuwa Ajira ni namna ya kurudiaha wealth yako au kipawa chako kwa jamii, Unashindwa kujua vizazi vyako vinahitajo ukumbusho wa uwezo na akili ya baba/babu yao Unashindwa kujua, vizazi vyako inabidi viandaliwe kiakili, saikolojia na...
  8. dist111

    JamiiForums Tanzania Kiti kung'ang'aniwa 2030

    Umesahau magufuli ndo alitengeneza hii department, Nadhani SSH kashindwa kuifuta tu, amepunguza tu viroba vya watu haviokotwi tena kunduchi. Au mmesahau viroba vilivokuwa vinaokotwa kimya kimya
  9. dist111

    JamiiForums Tanzania Uliwezaje au una-deal vipi na mchumba au mwanamke anayeamini katika dawa za kienyeji kama ulinzi (kinga dhidi ya wachawi)?

    Imani ni shida, Sio kwamba hakuna uchawi wala wanga au kurogwa, ila aliwazalo mjinga ndo humtokea.
  10. dist111

    JamiiForums Tanzania Tanzania watu binafsi wasirusiwe kujenga nyumba bali makampuni ya real estate

    Nyumba ya milioni 20, unaijengaje Ukumbuke kampuni ikijenga inaweka barabara, umeme, maji, nyumba Labda wakujengee chumba na sebule ndo milioni 20.
  11. dist111

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Anastahili Pongezi Na Heshima Kubwa Sana Kwa Hapa Alipolifikisha Taifa Letu. Amelivusha Nyakati Zote Ngumu Na Za Giza

    Huyu mama watu watamkubuka saana, Huku Arusha kila sehemu kunajengwa, kama sio barabara, basi ni hospitali, au shule, masoko ndo usiseme Then alivo nasifa anajenga vitu vya maana saana, mashule yote ni magorofa, tena mengine mpaka yana lift kabisa, Hizo veta ndo usiseme, Anayekuja atapata...
  12. dist111

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tunatofautiana , Mfanyabiashara umehaso hatimae una bilioni 10, unaendelea kuhaso kumfurahisha nani ? wengine tukizipata tunastaafu mapema

    Ukae ukijua bilioni ya Kwanza kuipata ndo shida ila zinazofuatia zinakuwa nyepesi, Meaning yeye anawajibu zaidi wa kuendelea kufanya kazi kwa nguvu kuliko maskini, Issue kubwa ni kuwa mabilionea hawarudishi kwa jamii wanabaki kutusua tu hela zao, Ila kama wangekuwa wanarudisha kwa jamii kama...
  13. dist111

    JamiiForums Tanzania Kila unapoangalia hii picha unaweza kujiuliza swali moja kwa zaidi ya dakika 10, "Nyerere alifikiria nini"

    Nadhani swali muhimu, Nyerere alipata nn kwa kukubali muungano huu, maana mpaka anakufa yeye ni shabiki wa muungano, hata G55 walipojitokeza kukataa muungano alideal naonhaswa haswa.
  14. dist111

    JamiiForums Tanzania Ushauri nimuoe huyu singo maza

    Watu wakorofi saana, Umeona maneno hayatoshi umeamua kutumia picha kabisa, Dah ila pango linafanania kabisa na mbususu iliyotoka tumika
  15. dist111

    JamiiForums Tanzania Kiti kung'ang'aniwa 2030

    Ndo ukweli lakini, Hili alinambia jiran yangu msabato kipindi cha magufuli, Nikisimkisikia naamalalamikia Samia namuambia ulisahau ulichosema kipindi cha magufuli? Anasema tutamkumbuka Samia akija mwenzetu 2030.
Back
Top Bottom