Mimi nimeshafanya haaya kwa kizazi changu na kipawa mungu alichonjaalia,
I am comfortable wanangu watasoma mpaka madarasa yawabomokee, na wataishi mjini, na kipato cha uhakika hata wasipofanya kazi.
Kazi kwako kalagabaho
Ajili ndogo utazijua tu,
Hawa ndo wenye kichwa kama ubuyu,
Ina maana hujui kuwa kila generation inakazi yake kwenye jamii,
Wewe endelea kuwaza hivo hivo halafu mtoto wako aje kuokota makopo, kama ndo kazi yake.
Maana kwa kizazi kijacho usipocreate Ajira kwa wanao hatakuwa na ajira labda ya...
1. Sisi waislamu hatuli kwenu kwa sababu tunajua mnachopika hakijachinjwa vzr,
Ndo maana zamani jirani mkiristo anaita mtoto wa jiran muislam amchinjie kuku, ili kumhakikishia kuwa hana shida au yeye pia anakula kwa misingi mizuri.
Tukijua kuwa mkiristo nazingatia kulavzr kwa mfano hauli...
Lazima Tanzania iitwe kwenye vikao vya Atomic,
Au hujui kuwa tumempa Mrusi madini, na nguvu kubwa itatumika Mrusi aondoke kuchimba Uranium,
Mostly, hivi vikao viko paid na partner countries, ila makamo wa raisi au raisi huwa halipiwi safari zake, ofisi inamlipia
Trust me, side meetings ni jambo la kawaida,
Mara ya kwanza kuliona ilikuwa TICAD7, Wakati wa kikao cha Japan na Africa, nilienda na issue zangu, nikaunganishwa kwenye delegates wa Tanzania katika vikao vya uwekezaji,
So rooms zilikuwa zipo za kutosha, wajapani wakijadilinana na watamzania...
Acha fujo,
Hizo ni side meetings za vikao, mostly mkienda kwenye vikao vya kimataifa wanaandaa rooms kwa ajili ya side/Private meetings za viongozi/delegates
Najua viena kuna kikao cha atomic kinaendelea, possible delegation hii ilienda kwenye kikao hiko, na wakaomba private room kufanya...
Akili ndogo shida saana,
Unajiwazia wewe Tu, unashindwa kujua kuwa Ajira ni namna ya kurudiaha wealth yako au kipawa chako kwa jamii,
Unashindwa kujua vizazi vyako vinahitajo ukumbusho wa uwezo na akili ya baba/babu yao
Unashindwa kujua, vizazi vyako inabidi viandaliwe kiakili, saikolojia na...
Umesahau magufuli ndo alitengeneza hii department,
Nadhani SSH kashindwa kuifuta tu, amepunguza tu viroba vya watu haviokotwi tena kunduchi.
Au mmesahau viroba vilivokuwa vinaokotwa kimya kimya
Huyu mama watu watamkubuka saana,
Huku Arusha kila sehemu kunajengwa, kama sio barabara, basi ni hospitali, au shule, masoko ndo usiseme
Then alivo nasifa anajenga vitu vya maana saana, mashule yote ni magorofa, tena mengine mpaka yana lift kabisa,
Hizo veta ndo usiseme,
Anayekuja atapata...
Ukae ukijua bilioni ya Kwanza kuipata ndo shida ila zinazofuatia zinakuwa nyepesi,
Meaning yeye anawajibu zaidi wa kuendelea kufanya kazi kwa nguvu kuliko maskini,
Issue kubwa ni kuwa mabilionea hawarudishi kwa jamii wanabaki kutusua tu hela zao,
Ila kama wangekuwa wanarudisha kwa jamii kama...
Nadhani swali muhimu,
Nyerere alipata nn kwa kukubali muungano huu, maana mpaka anakufa yeye ni shabiki wa muungano, hata G55 walipojitokeza kukataa muungano alideal naonhaswa haswa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.