Recent content by dist111

  1. dist111

    JamiiForums Tanzania Tumekuwa tukiaminishwa Morocco wameendelea ila vijana wao wako bize kukimbilia Ulaya

    Level yaaendeleo inatofautiana mkuu
  2. dist111

    JamiiForums Tanzania It's Over..! Ni aidha DPP aendelee kupoteza muda High Court (ndio lengo) bila kuwa na ushahidi (video ya JamboTV) au abwage manyanga..!

    Every strategist atafanya hivo Siasa ni profession, ina mahesabu makali, Usipokuwa mwanahesabu itakusumbua Save hizo dates then itakuwa kuretrieve huu Uzi
  3. dist111

    JamiiForums Tanzania It's Over..! Ni aidha DPP aendelee kupoteza muda High Court (ndio lengo) bila kuwa na ushahidi (video ya JamboTV) au abwage manyanga..!

    Msingi wa hii kesi sio lissu kufungwa, Ni atulie selo mpaka 2028 katikati, ili akitoka apambane na kumalizia katiba mpya then Angie kwenye uchaguzi wa 2030. Aendelee kutulia selo, siunamuona anaendelea kunawiri na ngozi inapendeza, akija kutoka atapewa mpunga wake Mwingi wa kula yeye na...
  4. dist111

    JamiiForums Tanzania Wizara ya fedha,mambo ya ndani na CCM project msikitini.Hii project mnapeleka taifa kubaya.

    Ambacho hujui ofisi nyingi za umma hazikaliki, Ukikaa unaishia kuumwa na kupata majanga, kama sio kufa. So ukipatawa cheo kipya hakikisha unakwenda na padri au shekhe kuiombea ofisi kabla hujakaa vzr. Ukishindwa nenda na mgaanga kabisa. Ukiona hakai Dodoma ujue ameshindwa kukiondoa...
  5. dist111

    JamiiForums Tanzania 20m itanifikisha wapi katika ujenzi wakuu?

    Linta inafika bila shida, na unabakiwa na kama 3M hivi Ukijenga ya room 2 unaezeka kabisa
  6. dist111

    JamiiForums Tanzania Suluhisho la ukosefu wa ajira nchini: Jukumu hilo wapewe Vyuo vikuu vya hapa Tanzania

    Masters yangu niliichukulia china, that was 2010 wakati china ikikua kwa Kasi kutokana na mifumo niliyokuambia, Tofauti yetu ni kuwa mifumo hiyo ilitengenezwa ja jopo la wataalamu wa vyuo vikuu, na professor wangu alikuwa mmoja wapo. Lastly, wataalam wa china hawana njaa kama hawa wa kwetu. Na...
  7. dist111

    JamiiForums Tanzania Ukweli lazima usemwe Samia sio mbaya kiivyo na inawezekana hata October 29 yeye sio muhusika mkuu kwasababu yuko front page

    Kwa kifupi, Ukimuondoa, unatengeneza historia ya kuondoana madarakani, ambayo inaathara mbaya zaidi, tutaigeuza Tanzania Nigeria ya miaka ya nyuma. Kila Leo itakuwa ni maandamano ya kupindua nchi au jeshi kupindua nchi, ambayo hakuna mwananchi wa kawaida atanufaika. Ninauhakika SSH akiondoka...
  8. dist111

    JamiiForums Tanzania Suluhisho la ukosefu wa ajira nchini: Jukumu hilo wapewe Vyuo vikuu vya hapa Tanzania

    Duniani kote, Vyuo vikuu havitengenezi Ajira. Maana vyuo vikuu vinazalisha white colour job, watu wa kukaa ofisini, Ambazo haziwezi kuwa nyingi China ndo nchi pekee iliyoondoa watu wengi zaidi kwenye umaskini, wao wameweza kwa sababu ya idadi yao, walihakikisha kila mtu anazalisha, kama si...
  9. dist111

    JamiiForums Tanzania Ukweli lazima usemwe Samia sio mbaya kiivyo na inawezekana hata October 29 yeye sio muhusika mkuu kwasababu yuko front page

    Napenda kujadili kwa hoja, Hongera kwa kuonyesha uhodari wako, All in all,.kuongoza watu ni shida saana, nasema hii kwa experience, tena inakuwa shida zaidi unapokuwa kiongozi mzuri, Kwa hiyo kwa yeye kufika level ya urais, basi ujue sio kwa bahati mbaya, na kwa vyovyote anastahili kuongoza...
  10. dist111

    JamiiForums Tanzania Ukweli lazima usemwe Samia sio mbaya kiivyo na inawezekana hata October 29 yeye sio muhusika mkuu kwasababu yuko front page

    what I know, 1. Samia S.H anabahati saana, si rahisi kuwa waziri, makamo wa raisi, mpaka raisi kama huna bahati saana. 2. SSH anakubalika saana, angeshaangushwa na watendaji wake au na system kabla hajafika alipo leo 3. SSHni mtu sahihi kwa wakati sahihi kuwa rais, imagine tungeendelea na...
  11. dist111

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Afcon 2027 kuota mbawa Tanzania, Rwanda kuchukua nafasi

    July 2027 mbali saana, Kuna mengi unaweza tokea hapo katikati. Maana wakati ninaadamu anapanga, Mungu naye anapanga pià
  12. dist111

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Afcon 2027 kuota mbawa Tanzania, Rwanda kuchukua nafasi

    Kwani Rwanda Wana viwanja vingapi? Je wanamuda wa kuvitengeneza vilibokai? Na wakiamua kuvitengeneza wanaweka wapi ukiacha Kigali? Kenya wenyewe imebidi waweke viwanja vyote Nairobi, maana wanajua hawatakuwa na matumizi navyo vikiwa nje ya Nairobi The same applies to Uganda Ni Tanzania Tu...
  13. dist111

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Afcon 2027 kuota mbawa Tanzania, Rwanda kuchukua nafasi

    Rwanda ana viwanja vya michezo? Ana viwanja vya mazoezi? Katika nchi tatu za AFCON27 ni Tanzania pekee itakayokuwa na viwanja vie vya kimataifa vya kuhost mechi plus viwanja vi5/6vya mazoezi. Nchi nyingine zote zitakuwa na viwanja vi2. Kwa kifupi Tanzania itahost mechi nyingi zaidi kuliko...
  14. dist111

    JamiiForums Tanzania Animals are smarter than Human beings. Man is not smarter than animals

    Ndo akili zako zilipoishia, You are just proving your level of thinking
  15. dist111

    JamiiForums Tanzania Animals are smarter than Human beings. Man is not smarter than animals

    Huyu ndo wale wanaofungwa kamba wakigeuzwa mbwa au paka na wenzi wao Kwa sababu anajijua yeye ni kiumbe dhaifu
Back
Top Bottom