Every strategist atafanya hivo
Siasa ni profession, ina mahesabu makali,
Usipokuwa mwanahesabu itakusumbua
Save hizo dates then itakuwa kuretrieve huu Uzi
Msingi wa hii kesi sio lissu kufungwa,
Ni atulie selo mpaka 2028 katikati, ili akitoka apambane na kumalizia katiba mpya then Angie kwenye uchaguzi wa 2030.
Aendelee kutulia selo, siunamuona anaendelea kunawiri na ngozi inapendeza, akija kutoka atapewa mpunga wake Mwingi wa kula yeye na...
Ambacho hujui ofisi nyingi za umma hazikaliki,
Ukikaa unaishia kuumwa na kupata majanga, kama sio kufa.
So ukipatawa cheo kipya hakikisha unakwenda na padri au shekhe kuiombea ofisi kabla hujakaa vzr. Ukishindwa nenda na mgaanga kabisa.
Ukiona hakai Dodoma ujue ameshindwa kukiondoa...
Masters yangu niliichukulia china, that was 2010 wakati china ikikua kwa Kasi kutokana na mifumo niliyokuambia,
Tofauti yetu ni kuwa mifumo hiyo ilitengenezwa ja jopo la wataalamu wa vyuo vikuu, na professor wangu alikuwa mmoja wapo.
Lastly, wataalam wa china hawana njaa kama hawa wa kwetu. Na...
Kwa kifupi,
Ukimuondoa, unatengeneza historia ya kuondoana madarakani, ambayo inaathara mbaya zaidi, tutaigeuza Tanzania Nigeria ya miaka ya nyuma.
Kila Leo itakuwa ni maandamano ya kupindua nchi au jeshi kupindua nchi, ambayo hakuna mwananchi wa kawaida atanufaika.
Ninauhakika SSH akiondoka...
Duniani kote,
Vyuo vikuu havitengenezi Ajira. Maana vyuo vikuu vinazalisha white colour job, watu wa kukaa ofisini, Ambazo haziwezi kuwa nyingi
China ndo nchi pekee iliyoondoa watu wengi zaidi kwenye umaskini, wao wameweza kwa sababu ya idadi yao, walihakikisha kila mtu anazalisha, kama si...
Napenda kujadili kwa hoja,
Hongera kwa kuonyesha uhodari wako,
All in all,.kuongoza watu ni shida saana, nasema hii kwa experience, tena inakuwa shida zaidi unapokuwa kiongozi mzuri,
Kwa hiyo kwa yeye kufika level ya urais, basi ujue sio kwa bahati mbaya, na kwa vyovyote anastahili kuongoza...
what I know,
1. Samia S.H anabahati saana, si rahisi kuwa waziri, makamo wa raisi, mpaka raisi kama huna bahati saana.
2. SSH anakubalika saana, angeshaangushwa na watendaji wake au na system kabla hajafika alipo leo
3. SSHni mtu sahihi kwa wakati sahihi kuwa rais, imagine tungeendelea na...
Kwani Rwanda Wana viwanja vingapi?
Je wanamuda wa kuvitengeneza vilibokai?
Na wakiamua kuvitengeneza wanaweka wapi ukiacha Kigali?
Kenya wenyewe imebidi waweke viwanja vyote Nairobi, maana wanajua hawatakuwa na matumizi navyo vikiwa nje ya Nairobi
The same applies to Uganda
Ni Tanzania Tu...
Rwanda ana viwanja vya michezo?
Ana viwanja vya mazoezi?
Katika nchi tatu za AFCON27 ni Tanzania pekee itakayokuwa na viwanja vie vya kimataifa vya kuhost mechi plus viwanja vi5/6vya mazoezi. Nchi nyingine zote zitakuwa na viwanja vi2.
Kwa kifupi Tanzania itahost mechi nyingi zaidi kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.