Recent content by dist111

  1. dist111

    Urefu wa Mama Mjamzito

    Kwa kifupi, Mwanamke akiwa chini ya 150cm anakuwa na kiuno chembamba, meaning kuna uwezekano wa kupata shida wakati wa kuzaa, So wauguzi wakiona tu kimo cha mama mjamzito wanajua maandalizi ya kufanya wakati wa kujifungua
  2. dist111

    Hayati Magufuli kukataa kufanya tathmini ya mazingira bwawa la Nyerere, sasa Rufiji inazama, serikali ifanye tathmini ya mazingira sasa

    Nimepata taarifa za ziada, Mafuriko yako downstream meaning yako chini ya bwawa, the logical explanation hapa ni kuwa bwawa lilijaa, likazidiwa katika kucontroll maji na ili lisivunjike waakamua kufungua mageti waruhusu maji kuoungua kwa Kasi. Maji yakipungua kwa Kasi, inamaanisha zile njian...
  3. dist111

    Kama Mwendokasi Ungekuwa wangu, Hivi ndivo ningeuendesja mradi huo.

    Serikali inatakiwa iwekeze nguvu Sana katika kuwainua watanzania kumiliki uchumi wao, kuwakabidhi miradi mikubwa namna hii kutawajengea uwezo kiuchumi, kimaamuzi, kitechnolojia, Nafikiria tu, ni ajira ngapi za sekta binafsi zingeanzishwa kwa kutumia this business strategy, hapa kuna PAYE kwa...
  4. dist111

    Kama Mwendokasi Ungekuwa wangu, Hivi ndivo ningeuendesja mradi huo.

    Tahadhari: Mawazo haya yanatikana na Imani yangubkubwa katika: 1. Biashara shindani, Yaani bila ushindani, biashara lazima itadorora. 2. Jamii imegawanyika kwenye matabaka mbalimbali, mfano wafanyabiashara, wafanyakazi, n.k. Nikimaanisha mfanyakazi hataweza kurndesha biashara na kinyume chake...
  5. dist111

    Hayati Magufuli kukataa kufanya tathmini ya mazingira bwawa la Nyerere, sasa Rufiji inazama, serikali ifanye tathmini ya mazingira sasa

    I am not sure rufiji ni upstream au downstream, Ninachijua bwawa linatumika kucontroll mafuriko downstream na definitely mafuriko yataongezeka upstream, What to do, 1. Watu wa upstream wawezeshwe kuhama, lakini wapewe biashara mbadala hasa ya uvuvi 2. Watu wa upstream wawezeshwe kwenye...
  6. dist111

    Ninaumia moyo kila ninaposikia serikali ya Tanzania imeagiza ndege mpya ya biashara

    Mbona huumii serikali inapojenga barabara, tena barabara za ndanindani huko, Au kwa sababu unajua kuna mtanzania atakutumia, hata kama serikali haitopata faida, ila kuna mtanzania atanufaika either kwa kupita au kupitisha gari yake, au kupitisha mazao yake. Ili usiumie kwenye suala la ndege...
  7. dist111

    Kuwekwa kwa somo ya Kiislamu kwenye Tahasusi kunaashiria nini?

    The only challenge I see ni watu kuamini wanasoma ili waajiriwe, Ki ukweli aliyesoma amesema, hata kama Hana ajira, anakuwa na uwezo wa kuziongeza kwenye mambo yake. So, kwa vijana wa sasa lazima tuongee wigo ili wakujiongeza waje kuziongeza.
  8. dist111

    Huyu Mwanamke ananikatisha tamaa ya kumtunza mtoto

    Ndo maana mnaanbiwaga umpende mtoto kabla hajazaliwa kwa kunchagulia mama Bora, Pole, jipange kwa mtoto ajae, make sure unatatuta mama Bora, tako kubwa au uke tight tupia kule, hao waendelee kuwa njia ya vumbi ila njia juu iwe ni kwa lengo moja tu.
  9. dist111

    Msaada Tutani: Nahitaji Paving grid

    Habari Wataalamu, Naomba contacts za kiwanda cha kutengeneza paving grids, Hizi ni badala ya pavements na zinafaa Sana sehemu yenye majimaji au udongo unaokaa na maji, Zitasaidia kuondoa usumbufu kwa sehemu ninapokaa, mwenye contacts anisaidie, Nikiziangalia ni rahisi kutengenezeka, lakini...
  10. dist111

    Ukweli ni kwamba sina hisia naye na wala sio aina ya mwanamke nimpendae kimuonekano lakini...

    Zipo za Bikra kutengeneza, Sijui wanafanyaje, ila kuna demu alitolewa Bikra na karibu Jamaa watatu, Umenikumbusha mbali saana, kama like darasa lisingekuwa la watu wa misifa pengine tusingejua. Ila hizi sifa za kijinga ndo zilizosaidia marafiki wa3 kujua wamemtoa Bikra MTU mmoja
  11. dist111

    Video: Benki wameingia cha kike baada ya kutoa mkopo wa 50 Milioni

    Hilo deal, Kuna mtu wa bank amekula 20-30% hapo
  12. dist111

    China sio nchi iliyoendelea

    Ushawahi sikia masikini akipata matako Julia ....., Wao wanajijua sio masikini ndo maana hawataki kuitwa developed country, ila marekani na ulaya wanawalazimisha wawe categorised to developed country. As a country kuwa developed country ni disadvantage kuliko kuwa developing country. Wanajua...
  13. dist111

    Mume wangu kaniruhusu nitafute bwana nje anitosheleze

    Hamna mume hapo, Sepa mapema
Back
Top Bottom