Recent content by dist111

  1. dist111

    Njooni Tujichange Twende Tanga Tujenge Kiwanda Cha Kusafisha Mafuta Ghafi (Petroleum Refinery). Mafuta tutanunua Uganda

    I agree with your thoughts, for export, Tanga is best located for a refinery industry. My thoughts were small domestric refinery industry lets say 300,000 to 500,000 liters per day
  2. dist111

    Njooni Tujichange Twende Tanga Tujenge Kiwanda Cha Kusafisha Mafuta Ghafi (Petroleum Refinery). Mafuta tutanunua Uganda

    I got you, I conguer with refinery 100%, it has many advantages Just thought Dodoma is central and it has infrastructure to easily distribute fuels throughout Tanzania. I submit
  3. dist111

    Njooni Tujichange Twende Tanga Tujenge Kiwanda Cha Kusafisha Mafuta Ghafi (Petroleum Refinery). Mafuta tutanunua Uganda

    Why kiwanda kisijengwe Dodoma, Dodoma is central na itarahisisha transport across Tanzania.
  4. dist111

    Boti iliyozama Kigoma na Watumishi wa afya, Kwanini haikuwa na life jackets?

    Kawaida saana hii, Maana hizo sio boti za hospitali, NI boti za wavuvi zinakodishwa Tu, na kuna gharama za kukodisha life jacket ila pia sio nyingi ziwani, Mkitoka hospitalini na perdiems zenu mnaona kutafuta life jacket ni kupoteza muda maana mnaweza zunguka siku nzima mzisipate, Mnamwambia...
  5. dist111

    Kutoka rubani wa ndege nchini Marekani hadi muokota makopo nchini Kenya

    Unaachaje kazi huna kazi nyingine, I believe hii ni stori alioamua kushare ila kuna mengi zaidi ya hayo, Kwa akili ya kawaida angeomba likizo ya mwaka, akaja Kenya akajisajili akakamilisha usajili then ndo atafute kazi, akipata ndo harudi USA, angekosa angerudi kuendelea na kazi yake
  6. dist111

    Bila maamuzi magumu kutoboa kupitia kuajiriwa nitakusikia tu kwenye bomba Ajira za afya michosho tu sifa mtaani tu ila hela hamna

    Namfaham daktari wa moyo, analipwa 12M hapahapa bongo, Mwambie kijana ajenge ujuzi hela zitamjia tu
  7. dist111

    Bila maamuzi magumu kutoboa kupitia kuajiriwa nitakusikia tu kwenye bomba Ajira za afya michosho tu sifa mtaani tu ila hela hamna

    Pole saana, If I were you, ningepokea ajira then nakumaa na vijiwe vi2/3, nahakikisha ntakuwa mbovezi, After 2/3 naomba ruhusa kusoma Muhas au pengine Masters, kipindi cha nyuma wizara ilikuwa inatoa scholarship sijui kama bado zipo Nikimaliza nahama kituo nasogea mjini, nikiwa mjini...
  8. dist111

    Hapa Germany Leo temperature iko 4°C mpaka ndevu zinaganda

    I was there two weeks ago, The snow was wonderful, but the negative 7/10 was next level. Halafu sikwenda nimejiandaa, mpaka nikapata kichomi
  9. dist111

    Israel ni nchi ya Wayahudi, soma Hesabu 34:1-15

    Hujaona wakatoliki wanavotemewa mate kule Jerusalem, Kama hujui, wakristo ni watu wa hadhi ya chini kabisa pale TelaViv
  10. dist111

    Israel ni nchi ya Wayahudi, soma Hesabu 34:1-15

    Swala la msingi ni kuwa wayahudi hawaamini katika Christ au bible, Sasa wanapata Imani ya nchi yao kama kitabu au nabii aliwanyanyua hawamuamini, Huu ni uwendawazimu Tu, how do you justify something from nothing (unbelievable things)
  11. dist111

    Kwa nini stendi ya bus Iringa ilijengwa Igumbilo badala ya Ipogolo?

    Shida kubwa ya nchi hii ni rushwa na kujuana, miradi mingi inajengwa kisiasa zaidi kuliko kumsaidia mtanzania. Huku Arusha na sehem nyingi kuna veta zilijengwa mwishoni mwa miaka ya 2000, kipindi hiking hakuna kitu kiitwacho bodaboda. Na kwa kuwa zilijengwa porini hakukuwa hata na daladlaa za...
  12. dist111

    Tatizo la kumbukumbu iliyopitiliza

    Tuanzie hapa, Ulifaulu vp Olevel, A-level, na chuo Maana ulichoongea hakikusaidiii Angalau huku tutajua kumbukumbu zimekusaidia vp
  13. dist111

    Mbunge apata kigugumizi kuongea Kingereza. Aomba po! "I'm sorry"

    Sio wamepigwa kipapai hao, Mbona anaonakana anaongea vzr, ulimi umelainika, Nina wasiwasi wamepigwa juju hao
  14. dist111

    Counter Opinion: Badala ya Kuuza Akiba ya Dhahabu, Uundwe Mfuko wa Miundombinu Utakaoendeshwa na Pesa za Madini!

    You said correctly, I always believe, matatizo ya nchi za kiafrica sio pesa, tatizo moja kubwa ni uaminifu na wizi, Hata tatizo la ajira kwa watanzania ni kwa sababu wenye pesa wameshapigwa saana, wanaogopa kuwekeza wanahifadhi hela zao kwenye viwanja, majumba, na fixed deposit banks. Yaani...
Back
Top Bottom