I agree with your thoughts, for export, Tanga is best located for a refinery industry.
My thoughts were small domestric refinery industry lets say 300,000 to 500,000 liters per day
I got you,
I conguer with refinery 100%, it has many advantages
Just thought Dodoma is central and it has infrastructure to easily distribute fuels throughout Tanzania.
I submit
Kawaida saana hii,
Maana hizo sio boti za hospitali, NI boti za wavuvi zinakodishwa Tu, na kuna gharama za kukodisha life jacket ila pia sio nyingi ziwani,
Mkitoka hospitalini na perdiems zenu mnaona kutafuta life jacket ni kupoteza muda maana mnaweza zunguka siku nzima mzisipate,
Mnamwambia...
Unaachaje kazi huna kazi nyingine,
I believe hii ni stori alioamua kushare ila kuna mengi zaidi ya hayo,
Kwa akili ya kawaida angeomba likizo ya mwaka, akaja Kenya akajisajili akakamilisha usajili then ndo atafute kazi, akipata ndo harudi USA, angekosa angerudi kuendelea na kazi yake
Pole saana,
If I were you, ningepokea ajira then nakumaa na vijiwe vi2/3, nahakikisha ntakuwa mbovezi,
After 2/3 naomba ruhusa kusoma Muhas au pengine Masters, kipindi cha nyuma wizara ilikuwa inatoa scholarship sijui kama bado zipo
Nikimaliza nahama kituo nasogea mjini, nikiwa mjini...
Swala la msingi ni kuwa wayahudi hawaamini katika Christ au bible,
Sasa wanapata Imani ya nchi yao kama kitabu au nabii aliwanyanyua hawamuamini,
Huu ni uwendawazimu Tu, how do you justify something from nothing (unbelievable things)
Shida kubwa ya nchi hii ni rushwa na kujuana, miradi mingi inajengwa kisiasa zaidi kuliko kumsaidia mtanzania.
Huku Arusha na sehem nyingi kuna veta zilijengwa mwishoni mwa miaka ya 2000, kipindi hiking hakuna kitu kiitwacho bodaboda. Na kwa kuwa zilijengwa porini hakukuwa hata na daladlaa za...
You said correctly,
I always believe, matatizo ya nchi za kiafrica sio pesa, tatizo moja kubwa ni uaminifu na wizi,
Hata tatizo la ajira kwa watanzania ni kwa sababu wenye pesa wameshapigwa saana, wanaogopa kuwekeza wanahifadhi hela zao kwenye viwanja, majumba, na fixed deposit banks.
Yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.