Kwa kifupi,
Mwanamke akiwa chini ya 150cm anakuwa na kiuno chembamba, meaning kuna uwezekano wa kupata shida wakati wa kuzaa,
So wauguzi wakiona tu kimo cha mama mjamzito wanajua maandalizi ya kufanya wakati wa kujifungua
Nimepata taarifa za ziada,
Mafuriko yako downstream meaning yako chini ya bwawa, the logical explanation hapa ni kuwa bwawa lilijaa, likazidiwa katika kucontroll maji na ili lisivunjike waakamua kufungua mageti waruhusu maji kuoungua kwa Kasi.
Maji yakipungua kwa Kasi, inamaanisha zile njian...
Serikali inatakiwa iwekeze nguvu Sana katika kuwainua watanzania kumiliki uchumi wao, kuwakabidhi miradi mikubwa namna hii kutawajengea uwezo kiuchumi, kimaamuzi, kitechnolojia,
Nafikiria tu, ni ajira ngapi za sekta binafsi zingeanzishwa kwa kutumia this business strategy, hapa kuna PAYE kwa...
Tahadhari: Mawazo haya yanatikana na Imani yangubkubwa katika:
1. Biashara shindani, Yaani bila ushindani, biashara lazima itadorora.
2. Jamii imegawanyika kwenye matabaka mbalimbali, mfano wafanyabiashara, wafanyakazi, n.k.
Nikimaanisha mfanyakazi hataweza kurndesha biashara na kinyume chake...
I am not sure rufiji ni upstream au downstream,
Ninachijua bwawa linatumika kucontroll mafuriko downstream na definitely mafuriko yataongezeka upstream,
What to do,
1. Watu wa upstream wawezeshwe kuhama, lakini wapewe biashara mbadala hasa ya uvuvi
2. Watu wa upstream wawezeshwe kwenye...
Mbona huumii serikali inapojenga barabara, tena barabara za ndanindani huko,
Au kwa sababu unajua kuna mtanzania atakutumia, hata kama serikali haitopata faida, ila kuna mtanzania atanufaika either kwa kupita au kupitisha gari yake, au kupitisha mazao yake.
Ili usiumie kwenye suala la ndege...
The only challenge I see ni watu kuamini wanasoma ili waajiriwe,
Ki ukweli aliyesoma amesema, hata kama Hana ajira, anakuwa na uwezo wa kuziongeza kwenye mambo yake.
So, kwa vijana wa sasa lazima tuongee wigo ili wakujiongeza waje kuziongeza.
Ndo maana mnaanbiwaga umpende mtoto kabla hajazaliwa kwa kunchagulia mama Bora,
Pole, jipange kwa mtoto ajae, make sure unatatuta mama Bora, tako kubwa au uke tight tupia kule, hao waendelee kuwa njia ya vumbi ila njia juu iwe ni kwa lengo moja tu.
Habari Wataalamu,
Naomba contacts za kiwanda cha kutengeneza paving grids, Hizi ni badala ya pavements na zinafaa Sana sehemu yenye majimaji au udongo unaokaa na maji,
Zitasaidia kuondoa usumbufu kwa sehemu ninapokaa, mwenye contacts anisaidie,
Nikiziangalia ni rahisi kutengenezeka, lakini...
Zipo za Bikra kutengeneza,
Sijui wanafanyaje, ila kuna demu alitolewa Bikra na karibu Jamaa watatu,
Umenikumbusha mbali saana, kama like darasa lisingekuwa la watu wa misifa pengine tusingejua.
Ila hizi sifa za kijinga ndo zilizosaidia marafiki wa3 kujua wamemtoa Bikra MTU mmoja
Ushawahi sikia masikini akipata matako Julia .....,
Wao wanajijua sio masikini ndo maana hawataki kuitwa developed country, ila marekani na ulaya wanawalazimisha wawe categorised to developed country.
As a country kuwa developed country ni disadvantage kuliko kuwa developing country.
Wanajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.