Umeshare upande mmoja tu wa stori au uzoefu wako ulioupata ama kuhushudia.
Jaribu tafuta upande mwingie wa stoei au uzoefu ama ushuhudi wa mke aliyepewa mtaji na mume wa halmashauri bada ya kukopa benki huko na akatoboa tobooooo!!
People always speak from their experience, ( and that is your...
Ukiona biashara imeshamiri na kuwa katika peak aka kilele basi fahamu kifuatacho ni anguko so kwa wajasiri wa mali wa kweli huwa wanafanya kitu kinaitwa daivesifikesheni...
Yaani wafungua biashara nyingine isiyoahabiliana na hiyo iliyo kwa peak..
Wajifunze kwa huyu mzee, mzee wa Azam Marine...
Kwa usiku barabara hiyo ni ubora wa taa za gari yako tu na pulling haha!!
Barabara ya hatari sana hiyo hata usiku ni mwendo wa malori tena kwa sasa na mabus yakutosha tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.