Mantiki ni kwamba mshahara 370000 hadi 500000 nyongeza 35.1%. Ambapo ongezeko ni 130000.
Kama 130000 ni fixed amount ya nyongeza kwa analipwa 1,200, 000/= nyongeza hiyo itakuwa 10.8% na sio 35.1
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DK SAMIA SULUHU HASSAN AMETANGAZA RASMI NYONGEZA YA YA TSHS 130,000 KWA WATUMISHI WA UMMA. KIMA CHA CHINI KUTOKA 370000 HADI 500000 SAWA ASILIMIA 35.1
NYONGEZA HII ITAKUWA TOFAUTI KWA NGAZI ZINGINE ZA MISHAHARA.
NUKUU YA HOTUBA "NGAZI NYINGINE ZA...
Kima cha chini Ongezeko ni 130000 sawa 35.1%
Assuming unalipwa 1,200,000. Na kama 130,000 ni fixed amount kwa watumishi wote. Mtumishi huyo atapata nyongeza ya 130,000 ÷1,200,000 ×100=10.8%
Umeandika mengi japo unachanganya mambo
1. Ngorongoro ndipo wafugaji wamehamishwa walioridhia mchakato na wamepewa na fidia. Wale ambao wanapiga kelele ni mapapa ambao wananufaika na malisho hawa wako Tz na Kenya. Na wengi wanatumia maneno wamasai wanaonewa wenyewe hawapo (cite ) .
2. Loliondo...
Kwenye suala Ngorongoro fisadi moja kabanwa na spika Tulia Akson mpaka raha. Kaambiwa soma sheria, kapata kigugumizi. Huenda ni miongoni mwa wanyonyaji nimesoma mahali ana ngombe 2000 Ngorongoro
Uhamiaji komaeni na wamasai wenye uraia wa nchi mbili wanaosumbua serikali ya TANZANIA inapofanya shughuli zake. Kumbuka wakenya wamezoea ardhi ya mali ya Raia kwa katiba yao hapa TZ wakome. Na serikali ijue hili ngombe au mifugo ambao bado wako kwenye pori tengefu na kwenye hifadhi ya...
Ngorongoro creta wamasai wanahamishwa. Maana binadamu na mifugo wamekuwa wengi, kiuhalisia wanyama wako hatarini kutoweka. Mpango wa serikali kuwahamisha umekaa vizuri kwa maslahi ya Taifa.
Loliondo ni kuweka mipaka ya Eneo ambalo litakuwa pori TENGEVU kwa kusudio endelefu la kuondoa shughuli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.