Ubaya hauna kwao. Ubaya hauna macho. CCM Ina unasaba na ubaya. Kila mtu/kikundi ama chama wataonja ubaya wa CCM kwa wakati wake.
Mifno ya vyama na watu waliyoonja ubaya wa CCM.
-Ndugai, Membe, Sumaye, Lowasa, Lisu, Mbatia, e.t.c
-CUF, NCCR, Chadema,
Hivi sasa akina Halima Mdee wako bungeni kinyume na sheria. Wamevunja katiba lkn watanzania hatuandamani, tunadhani ni suala la chadema tu.
Wamasai wa Loliondo wanaporwa ardhi yao, watanzania hatuandamani tumewaachia wamasai.
Wakifanikiwa Loliondo watawaondoa kwenye maeneo yao wakazi wa Kigamboni, Marangu, Kisiwa cha Saanane, Bagamoyo, Mikumi, Kalenga, n.k.
Injustice somewhere is Injustice everywhere.
Mifno ya vyama na watu waliyoonja ubaya wa CCM.
-Ndugai, Membe, Sumaye, Lowasa, Lisu, Mbatia, e.t.c
-CUF, NCCR, Chadema,
Hivi sasa akina Halima Mdee wako bungeni kinyume na sheria. Wamevunja katiba lkn watanzania hatuandamani, tunadhani ni suala la chadema tu.
Wamasai wa Loliondo wanaporwa ardhi yao, watanzania hatuandamani tumewaachia wamasai.
Wakifanikiwa Loliondo watawaondoa kwenye maeneo yao wakazi wa Kigamboni, Marangu, Kisiwa cha Saanane, Bagamoyo, Mikumi, Kalenga, n.k.
Injustice somewhere is Injustice everywhere.