Boss open kuna kuingia kwa intake January,april tayari hivyo bado July ambayo ndio dirisha risha funguliwa na washaanza kutuma maombi.Kisha kuna October intake 2021 pambana mkuuu ukamilishe ndoto zako
Wakuu kuna dogo kaniuliza sehemu flani anaomba ushauri kwamba anaitaji kusoma masters yeye ni mwalimu sasa anataka kujiendeleza hivyo basi kaniuliza ipi masters yenye fulsa katika upande wake na ni mwajiwa kwa baadae 1:Masters of education. 2:.....of adminstration,planning,policy and study...
Nenda regional centre ulio jiandikishia watakwenda kuactivate account yako au namba yako ya usajili au kama kuna maelekezo watakuambia open raha sana karibu mkuuu
Mfano bacherol yoyote ile unatakiwa kusoma maximum unit 40 minimum 36 3years hivyo basi kuna mitihani aina mbili moja special annual examination unaweza andika muda wowte pale tangazo la kusajili masomo kwa ajili ya mtihani pili annual examination hivyo basi unaweza ukawa umesajili course 10...
Kweli kabisa niliwahi mnukuu makamo mkuuu wa chuo cha open akisema kusoma ni kama kukimbia marathon hivyo mtaanza pamoja ila kila mmoja atafika end point kwa wakati wake kutokana na nguvu binafsi ya kukimbia hivyo wasio fika pale na kuishia njiana hukisema chuo vibaya mno wakati uwezo wa mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.