Ikitokea world war III nchi nyingi za Africa zitatawaliwa Tena(colonized) hatuna uwezi,na sehemu kubwa ya hiyo vita itapiganiwa ktk bara la Africa(sehemu nyepesi kujenga military bases),they will be forced to choose the side na kua chini ya wakubwa
Ungejua hela zinatolewa vip na wapi?usingewalahumu hao kwa vigezo hivyo? Tafuta sababu nyingine, kwa kifupi uliza kama Road Fund inafanya kazi ipasavyo,kwa madhumuni yaliyowekwa wakati inaanzishwa??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.