Zanzibar wanauwezo wakuungana na Kenya vilevile au visiwa vinginevyo, mambo mengi yako Dynamic ,uwezi kumlauma Nyerere ,watu wanajua siri zako zoote za nchi,tengana nao kwa akili kubwa
Nyerere aliulinda Muungano kiusalama zaidi, na ukiangalia Zanzibar kua Islamic state kamili ni rahisi nje ya Muungano,lazima kuwe na strategics kukabilia na hiyo hali,for short & long term
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.