Recent content by Diop

  1. D

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    Kweli ulikuna Nazi vizuri sana
  2. D

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    Kanambia Hauna.
  3. D

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mbona Rais Samia anahutubia wafuasi wake akiwa anahema sana, yuko sawa kiafya kweli?

    Kwa wa 2000 sio kipaji,zenu mapiano
  4. D

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    Una marinda??
  5. D

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mbona Rais Samia anahutubia wafuasi wake akiwa anahema sana, yuko sawa kiafya kweli?

    'Kuleni kuku,Mayai mboga samaki maziwa' kuna hiyo nyimbo yake,wawe wanazipiga redioni,tuna watu wasiojali historia
  6. D

    JamiiForums Tanzania Kabla wamisionari hawajaja Afrika na kufundisha kuhusu mbinguni na kuzimu wazee wetu walikuwa wanaenda wapi?

    Ndo mkadanganywa missionaries watu wakueneza dini,kumbe ilikua clear walikua kwenye Mission kutoka nchi zao!haha
  7. D

    JamiiForums Tanzania JWTZ ni kwamba mnafanya maigizo ama?

    Ikitokea world war III nchi nyingi za Africa zitatawaliwa Tena(colonized) hatuna uwezi,na sehemu kubwa ya hiyo vita itapiganiwa ktk bara la Africa(sehemu nyepesi kujenga military bases),they will be forced to choose the side na kua chini ya wakubwa
  8. D

    JamiiForums Tanzania Kabla wamisionari hawajaja Afrika na kufundisha kuhusu mbinguni na kuzimu wazee wetu walikuwa wanaenda wapi?

    Jina Mzungu limetokana na neno Mulungu, je Babu zetu walifikiria ndo Mulungu waliyemuabudu kawafikia baada ya wakoloni kuwasili?
  9. D

    JamiiForums Tanzania Kabla wamisionari hawajaja Afrika na kufundisha kuhusu mbinguni na kuzimu wazee wetu walikuwa wanaenda wapi?

    Ni kama sheria,kutoijua hamaanishi ukitenda kosa uwezi shitakiwa! Hahaha
  10. D

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mbona Rais Samia anahutubia wafuasi wake akiwa anahema sana, yuko sawa kiafya kweli?

    Mzee Mwinamila kutoka Unyanyembe!kipaji kisichokumbukwa
  11. D

    JamiiForums Tanzania Tuongee ukweli, Abdallah Ulega hastahili kuwa Waziri wa Ujenzi

    Ungejua hela zinatolewa vip na wapi?usingewalahumu hao kwa vigezo hivyo? Tafuta sababu nyingine, kwa kifupi uliza kama Road Fund inafanya kazi ipasavyo,kwa madhumuni yaliyowekwa wakati inaanzishwa??
  12. D

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole: Popote ulipo, naomba jibu la swali hili ukija kwenye press ya tarehe 3/9/2025 kama ulivyoahidi

    Dawa katiba itamke akifa Raisi, uchaguzi uitishwe ndani ya siku 90 ,nchi nyingi zinafanya hivyo
  13. D

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mahakama, ACT na CCM wanaenda kujisafisha kitaifa na kimataifa

    Tume hawana wanasheria mpaka msajili aone mapungufu? Au kazi yao nikitoa form tu,hakuna kupitia katiba hata za vyama?
  14. D

    JamiiForums Tanzania Chui aliyejeruhi watu wanne Mwanza auwawa kwa risasi. Hili ni tukio la kutengeneza?

    Chui hajàwahi kula binadam,kujeruhi binadam uwa nikujilinda
Back
Top Bottom