Recent content by Diop

  1. D

    JamiiForums Tanzania Swali langu kwenu wazushi, kama kweli yanayozushwa kuwa Tanganyika inageuzwa koloni. kwanini wabara walioko huko kwenye hizo taasisi nzito wametulia ?

    Angalia wabunge wao,hakuna vilaza ..sijui mtu comedian tu na umaarufu wake anapewa Ubunge kama kwenu
  2. D

    JamiiForums Tanzania Swali langu kwenu wazushi, kama kweli yanayozushwa kuwa Tanganyika inageuzwa koloni. kwanini wabara walioko huko kwenye hizo taasisi nzito wametulia ?

    Hawana akili wangeongoza?.Wako mbali kwa sasa na united tofauti non united yenu
  3. D

    JamiiForums Tanzania Nyerere aliwanyamazisha kimabavu Watanganyika walioitaka Tanganyika yao kwanini ?

    Kwahiyo sababu ni zipi?
  4. D

    JamiiForums Tanzania Nyerere aliwanyamazisha kimabavu Watanganyika walioitaka Tanganyika yao kwanini ?

    Nchi Ndogo? Japani waliitawala China na wingi wao
  5. D

    JamiiForums Tanzania Nyerere aliwanyamazisha kimabavu Watanganyika walioitaka Tanganyika yao kwanini ?

    Wa elfu mbili ,huwezi jua hata Nyerere alinusurika kupinduliwa akaokolewa na kikosi cha jeshi cha Malikia wa UK kililchokua na Base Kenya...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Nyerere aliwanyamazisha kimabavu Watanganyika walioitaka Tanganyika yao kwanini ?

    Zanzibar wanauwezo wakuungana na Kenya vilevile au visiwa vinginevyo, mambo mengi yako Dynamic ,uwezi kumlauma Nyerere ,watu wanajua siri zako zoote za nchi,tengana nao kwa akili kubwa
  7. D

    JamiiForums Tanzania Nyerere aliwanyamazisha kimabavu Watanganyika walioitaka Tanganyika yao kwanini ?

    Nyerere aliulinda Muungano kiusalama zaidi, na ukiangalia Zanzibar kua Islamic state kamili ni rahisi nje ya Muungano,lazima kuwe na strategics kukabilia na hiyo hali,for short & long term
  8. D

    JamiiForums Tanzania Ni MABADILIKO Gani Samia alitaka kuyafanya Nchimbi akawa kikwazo? Au ni kukataa kutoa katiba? Kuamulu Tundu Lissu auawe?

    Picha inaanza,unapewa nafasi kama vile umependelewa mnoo then sikiliza wanachotaka wao tuu...hahahaa
  9. D

    JamiiForums Tanzania Three women linked to Zimbabwe’s First Family denied bail in drug case

    Shithole countries..
  10. D

    JamiiForums Tanzania Makosa makubwa sana yalifanyika 2015 pale Dodoma kumpa nafasi Magufuli na kumuacha lowassa

    Yaliyopo kwa sasa ameyaasisi yeye!hakuna kuhoji,,kuteka,kupotezwa ,uchafuzi wa uchaguzi n.k
  11. D

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Askofu Mwingira: Nilikataa kumpokea Benny Hinn alipotaka kuja Tanzania, kwa sababu yaliotokea Oktoba 29, 2025

    Sasa si awashawishi hao watu wamuheshimu Mungu,kama mtumishi kashindwa ilo? Basi shetani ana nguvu kumzidi yeye
  12. D

    JamiiForums Tanzania Morogoro mji kasoro bahari, kwani zamani ilikuwa lazima mji kuwa na bahari

    Mbona mnashindwa kushughulisha vichwa,Kijiji-Mji-Jiji...fikiria wakati Dar ni mji na inafananishwa na Moro,kwingine kulikuaje??G-Z shiida
  13. D

    JamiiForums Tanzania Lissu na Magufuli sio watoto wa mjini. Hawa walikuja mjini kwa ajili ya shule

    Tafiti ndizo nguzo ya mafanikio ktk maamuzi magumu.
  14. D

    JamiiForums Tanzania Heche: Nimeongea na Mwenyekiti Lissu kaniambia hakuna kupiga magoti endelea kupeleka moto

    Ndo maana Mbowe kaona ujinga gani??
Back
Top Bottom