kiukweli kwahili binafsi nampongeza sana Paul makonda japo sijawahi kumpongeza kwa chochoe....vita hii n kubwa sana kwake..kuamua kuivulia shati n ujasiri mkubwa sana...anaebeza hili binafsi namshangaa...makonda amethubutu
lisu Mungu akufunike na mabaya ya watu Wa ccm maana hakika unafanya ile ilio haki....bila wewe saizi hakuna ambae angethubutu kupanua kinywa chake dhidi ya faru john
mim mwenyew simuelewi mtukufu raisi.....kiukweli namkubali sana na kwa 2015 kulikua hamna alternative zaidi yake.....lakini hilo lakuzuia mikutano ya kisiasa...mh limekua gumu sana kwangu mimi kumwelewa
hii tume sindoilishindwa kuwashugulikia wakina tibaijuka na chenge??? hivi hii tz mbona watu na vitengo vinatumika sana hata kwa mambo yakiharamia ilimradi kufanya katiba inayovunjwa na mhe.iendane sawa na wanachotaka wao??
lisu ni moja ya wanasiasa wachache wenye akili sana Africa....mi niseme wazi Mimi mpaka Leo simpendi owasa na sintokaa nijutie kumchagua Magu...najuhudi anazozifanya za kushugulikia ufisadi mwake 100%........lakini nakwazika sana anapoubana upinzani katika kila pande.....pamoja na mapungufu...
kama hii katiba iliopo pamoja na mapungufu yake mengi.....lakini bado watu hawaiheshimu wanaikanyaga na wanafanya vitu kutokea kichwani...mpya ndo wangeiheshim???.....hii nchi inahitaji zaidi ya katba..nacho ni watz kujitambua...saaahivi uelewa Mdogo sana
hivi nyie ccm na raisi mbona mnawachokonoa hivo upinzani nyinyi.....yani manataka wasikohoe?? sasa kisa cha kuwazuia kufanya mikutano ilihali nyimnafanya mana yake nini???? alafu mnavoendesha kamata kamata ya wapinzani hamjui mnatengeneza asira za chinichini za wananchi
lisu Mkuu sasahivi ukiachiliwa usikubali kuongea na wanahabari....tatizo wakikuona umetoka tuu wanakuletea maiki nyingi...nawe vile hujizuiagi kuongea unaongea mpaka basi matokeo yake unakua unakamatwa kila Siku.......sasa hiv wakikwachia toka kimyakimya kuepusha shali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.