*BINAFSI SIMLILII NAPE NNAUYE.*
Mimi sina mda wa kumlilia Nape Nnauye hata sekunde moja, nitumie mda huu kulia na kuomboleza kwa ajili ya mtanzania maskini na mnyonge anayefikiri CCM ni chama chake, labda tu kama unatokea ukoo wa BASHITE ORIGINAL lakini nje ya hapo wewe ni mjinga na...
alisema MH. RAIS TUNDU LISSU kuwa "huyu DIKTETA UCHWARA inabidi apingwe kwa njia yeyote"
wizara zipo tu kwa matakwa ya KIKATIBA ila hakuna wizara inayo operate independently....
maamuzi yote anaamua dikteta UCHWARA,
yeye ndio wazir wa fedha na mipango...
yeye ndio wazir wa uchukuzi....
yeye...
donald trump yupi aliemsifia rais wako? unatokea LUMUMBA?
maana wanaotokea huko ndio huwa hawajishughulishi na KUFIKIRI.
afu usiseme rais wetu ni rais wa LUBUVA.
atayethibitisha kuwa askofu GWAJIMA ni muongo au MKWELI ni makonda mwenyewe....
ngoja nikuulize swali mtoa post...
"hivi vyeti vya makonda ana vihifadhi MBINGUNI?"
kwamba ni mbali hawezi kuvifuata awaoneshe watu ili kum - prove wrong GWAJIMA na akamshtaki kwa kuchafua image yake kwa...
unafiki wake ni nini?
kwani kuna UBAYA gani Gwajima kuwa karibisha wazee kutoka KOROMIJE kuongea na wana familia ya UFUFUO na UZIMA?
mna hofu na nini?
acheni hofu gwajima hamiliki JESHI LOLOTE nchini.....
Gwajima awalete tu wageni kutoka KOROMIJE siku ya jumapili....
Sent from my SM-J200F...
achana na mange kimambi kwanza tuanze na hili la kutumia IDENTITY ya mtu mwingine kama ndio wewe..!
kupata 0 sio KOSA, kosa ni pale unapotumia cheti cha mtu ambaye sio wewe...!
mimi nilidhani before kum attack mange ungemshauri BASHITE alite vyeti vyake watu waone ukweli wa mambo...!
"to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.