Recent content by dinco

  1. D

    Maaskofu Watoa Waraka Mzito

    Pombe vitabu vyote haikuruhusiwa. Na sisi kama wafuasi wa matakwa ya mungu, yatupasa tuachane nayo. Mungu anapokataza jambo,ujue jambo hilo ni kwafaida yako wewe uliyeumbwa.
  2. D

    Ni bora Makonda amekimbia mapema, angesombwa na kimbunga cha bunge la bajeti

    Unauhakika kakimbia? Au alikupa na kukupa taarifa kama anakimbia?
  3. D

    Maaskofu Watoa Waraka Mzito

    Ulevi wa aina yoyote ile haufai. Sio virobà tu. Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  4. D

    Mbunge wa Mtera: Wasiporidhika na vyeti wakasema sijatahiriwa nitatoa nini?

    Kauli mbovu! Unataka uambiwe utoe nn? Jiheshimu! Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom