Recent content by DINATALI

  1. D

    JamiiForums Tanzania Jamal Tamimu akikatwa jina CCM kwa mara nyingine Muhambwe mtapata shida

    Sio hivyo tu enzi za wanachama kupiga kura ndio alikuwa anawaacha kura kwa maelfu mengi tu kina NTAGAZWA WANAMJUA na kuhusu hilo suala wanalomsingizia la kuua au ujambazi ni kashfa tu, mbona siku zote wako naye na anashiriki shughuli za kimaendelo ikija kwenye kumkata jina ndio zinakuja skendo...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Hukumu ya kesi ya Shamimu na mumewe kutolewa kesho Machi 31, 2021

    GRAMU 400 SI WASEME TU NI ZA KWAO ZA KUTUMIA
  3. D

    JamiiForums Tanzania Jamal Tamimu akikatwa jina CCM kwa mara nyingine Muhambwe mtapata shida

    pande gani mechi imeshaisha, tunachoonesha hapa ni ukiukwaji mkubwa wa haki za wananchi kuwekewa mgombea wasiyemtaka,kuhusu maamuzi walishafanya wanavyojua wenyewe lakini wanavunja wanaCCM mioyo na hilo jimbo upinzani watachukua kama mchezo
  4. D

    JamiiForums Tanzania Jamal Tamimu akikatwa jina CCM kwa mara nyingine Muhambwe mtapata shida

    wewe ndio hueleweki soma mwanzo mpaka mwisho mbona unachukua vitu nusunusu na mbona hauongelei suala la kuambiwa na HAYATI MAGUFULI kuwa avumilie ingekuwa ni mtu asiyefaa hata HAYATI MAGUFULI asingemwambia avumilie!
  5. D

    JamiiForums Tanzania Jamal Tamimu akikatwa jina CCM kwa mara nyingine Muhambwe mtapata shida

    wewe huoni aliyeongoza ni nani!?
  6. D

    JamiiForums Tanzania CCM yamteua Dkt. Florence George Samizi kugombea ubunge jimbo la Muhambwe

    Bwana JAMAL TAMIM amekuwa akijitahidi sana katika shughuli za maendeleo na wanaMUHAMBWE wanalijua hilo, na amekuwa mvumilivu sana japo kuna genge la baadhi ya viongozi linaloonesha kumpiga vita, karibu kila mara amekuwa akiongoza kwenye kura za maoni ( kasoro mwaka jana ambako waliopiga kura...
  7. D

    JamiiForums Tanzania Jamal Tamimu akikatwa jina CCM kwa mara nyingine Muhambwe mtapata shida

    Tatizo ni wanaMUHAMBWE kunyimwa HAKI YETU ya kuwa na kiongozi tumpendaye na tumtakaye kwa hivyo itabidi tu tumchague mwingine kwa sababu yule tunayemtaka hakupewa haki ya kushiriki, na bwana JAMAL TAMIMU inakuwa kama ananyimwa haki yake hata kama ni wewe ungejisikiaje!? Bwana JAMAL miaka ya...
  8. D

    JamiiForums Tanzania Jamal Tamimu akikatwa jina CCM kwa mara nyingine Muhambwe mtapata shida

    Jina la bwana Jamal Tamim aliyeshinda kura za maoni za ubunge kupitia CCM jimbo la MUHAMBWE limekatwa,hivyo kuliacha jimbo hilo likiwa katika hati hati ya kuchukuliwa na wapinzani. Bwana Jamal Tamim amekuwa akijitahidi sana katika shughuli za maendeleo na WANAMUHAMBWE wanalijua hilo, na...
Back
Top Bottom