Jesusu life changer nadhani ile ilikuwa ni kusherekea na shukurani kwa Mungu wao kuwapa hiyo chopa na leo ndo uzinduzi it seems, yetu macho maana wanaonekana wana mengi ya kutenda
Mmefungulia bomba sasa mnalowana nyie mlianza kuumbwa midomo gwajima aliyeanza kuumbwa kichwa anasonga mbele wewe wabaki kulalama utabakia hapo hapo na laana iliyokushikiria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.