Habari,
Natafuta mdf board za kituruki ziwe high gross kama zile kwa sasa wanatengenezea makabati ya jikon au tv show case kwa anaejua ni nani anauza hizo board hapa Dar es Salaam atakua kanisaidia sana au kama kuna page ya insta inayouza hizo board anisaidie mfano ni kama haya makabati nime...
Mimi faida napata kuku wangu nilichukua mwaka jana may wakaanz kutaga sept mwishon hadi oct wakawa wameanza kujilisha na kuanza kukusanya faida.
Hela kurudi itarudi tu sabab faida aiona na kuna vitu kama jengo na fensi ni la milele cage life span yake ni hadi miaka kumi so hivi vitu nachukulia...
Nimeona ni kushauri ki uhalisia mm ni mfugaji pia.
Kuku hao 500 mtaji wake walau uwe na milioni 20 cash otherwise unaweza kuwauza iko hivi
Unawanunua kwa 500@2400=1200000
Chakula kwa mwezi ni wastan wa milion 2 so miez 6 ni milion 12
Banda lets say 4m
Mengineyo...
Hìi ni kweli kabisa hata mm nimeanza na layers pesa naiona sana hadi nashangaa kwann nimechelewa sana kuanza.pia biashara ya ufugaji kuku ni mradi wa nyumbani hauna purukushan za TRA wala kodi za frem pia unatumia muda mchache sana kuwahudumia.
Kwa mtaji huo unaweza anza na 1.duka la mangi
2.mtumba nenda ilala sokon point nguo nzur uza
3.uwakala wa pesa(asubuhi anzia magufuli stend)
4.nguo za ndani
5.pika chakula home panda gari kauze kkoo(mchana) + asubuhi pika uji kauze hukohuko so utakua unapiga hela asbh na jion
6.kauze vitu...
Umenikumbusha tiens mimi nilifanya nao tena nilikua wale watu wa mwanzo kabisa mkoani kwetu ipo hivi yule alie kuunga anapata pia kupitia wewe na yeyote utaemuunga chini yako pia kuhusu zawadi na safari ni uongo kutembea nchi mbalimbali kwa vikao na mikutano inajilipia everything ila lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.