Recent content by dimple

  1. dimple

    High Gross MDF Board za Kituruki

    Ndio zinang'aa kama kioo
  2. dimple

    High Gross MDF Board za Kituruki

    Picha yako haifunguki unaweza nitajia jina
  3. dimple

    High Gross MDF Board za Kituruki

    Nimeangalia ila hawauzi mdf wao ni mafundi mm nataka maduka yanayouza mdf material ya kituruk
  4. dimple

    High Gross MDF Board za Kituruki

    Habari, Natafuta mdf board za kituruki ziwe high gross kama zile kwa sasa wanatengenezea makabati ya jikon au tv show case kwa anaejua ni nani anauza hizo board hapa Dar es Salaam atakua kanisaidia sana au kama kuna page ya insta inayouza hizo board anisaidie mfano ni kama haya makabati nime...
  5. dimple

    Ac za baridi baridi Vs kununua AC kkoo..ipi Bora?

    Hata mimi nilikua najiuliza hili sipati majibu ngoja waje waaelezee why baridibaridi?
  6. dimple

    Naomba ushauri wenu kuhusu biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai

    Mimi faida napata kuku wangu nilichukua mwaka jana may wakaanz kutaga sept mwishon hadi oct wakawa wameanza kujilisha na kuanza kukusanya faida. Hela kurudi itarudi tu sabab faida aiona na kuna vitu kama jengo na fensi ni la milele cage life span yake ni hadi miaka kumi so hivi vitu nachukulia...
  7. dimple

    Naomba ushauri wenu kuhusu biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai

    Nimeona ni kushauri ki uhalisia mm ni mfugaji pia. Kuku hao 500 mtaji wake walau uwe na milioni 20 cash otherwise unaweza kuwauza iko hivi Unawanunua kwa 500@2400=1200000 Chakula kwa mwezi ni wastan wa milion 2 so miez 6 ni milion 12 Banda lets say 4m Mengineyo...
  8. dimple

    Mtaji wa 46M faida 540,000, pia mtaji wa 45M faida 576,000

    Ruwasa[emoji24][emoji24] hili ni jipu uchungu,naenda mwaka wa pili sijalipwa hadi tumekonda[emoji13]
  9. dimple

    Ungepewa milioni 12 uwekeze, ungefanya uwekezaji gani? Wafanyabishara waheshimiwe, ajira ni bora zaidi ya biashara

    Hìi ni kweli kabisa hata mm nimeanza na layers pesa naiona sana hadi nashangaa kwann nimechelewa sana kuanza.pia biashara ya ufugaji kuku ni mradi wa nyumbani hauna purukushan za TRA wala kodi za frem pia unatumia muda mchache sana kuwahudumia.
  10. dimple

    Naombeni mnipe ujasiri wa kuthubutu nisiwe muoga

    Kwa mtaji huo unaweza anza na 1.duka la mangi 2.mtumba nenda ilala sokon point nguo nzur uza 3.uwakala wa pesa(asubuhi anzia magufuli stend) 4.nguo za ndani 5.pika chakula home panda gari kauze kkoo(mchana) + asubuhi pika uji kauze hukohuko so utakua unapiga hela asbh na jion 6.kauze vitu...
  11. dimple

    Kuanza project ya kuku Machi, 2023

    Hili nimelifanyia kazi
  12. dimple

    Wafanyakazi wako wanakuibia? Jaribu mbinu niliyotumia wangu wakaacha

    Umenikumbusha shemeji yangu aliiba mno hadi tukapata hasara tukafunga mradi toka siku hiyo yupo hana shughul
  13. dimple

    Naomba ushauri kuhusu network market ya Neolife

    Umenikumbusha tiens mimi nilifanya nao tena nilikua wale watu wa mwanzo kabisa mkoani kwetu ipo hivi yule alie kuunga anapata pia kupitia wewe na yeyote utaemuunga chini yako pia kuhusu zawadi na safari ni uongo kutembea nchi mbalimbali kwa vikao na mikutano inajilipia everything ila lazima...
  14. dimple

    Nahitaji mbolea ya kuku

    Uko mkoa gani?mimi nina kuku layers nafugia kwenye cage lakini Sent using Jamii Forums mobile app
  15. dimple

    Natafuta Watengenezaji wa Biogas hapa Tanzania

    Umewapata? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom