Kwa Hali ya uchumi ilivyo pole sana kuacha forex. Binafsi nipo ktk hii industry Nina kama mwaka Ila naona mwanga.nilijifunza mwenyewe online sikuelewa sanaaa bahati nzuri kuna rafiki alilipia darasa la online nikawa nasoma nae😀 sehemu za live na akawa ananipa clip za mafunzo hapo ndo nikaanza ku...
Hii na mimi imenikuta mwaka huu.kona zote za sebulen zimeingiza maji mimi naona ni water table imekua juu sabab mvua imekua nyingi mwaka huu.ila mimi sabab nimeihisi ni sebulen nilichimba ipo chini kama 2 steps kwenda chini kuliko sehem zingine so mm hili ndo tatizo.So hii shida kwako si tiles...
Hapa sijakuelewa kabisa
"Bomba linalotoa maji ndani kupeleka kwenye shimo usilichimbie chini...lifanye limwage maji kwa juu ya shimo..yani kama vile maji ya bomba la mvua bafuni yanavyomwagika,sasa bomba lako limwage maji kwa juu"
Bomba gani linalotoa maji ndani?
Habari,
Natafuta mdf board za kituruki ziwe high gross kama zile kwa sasa wanatengenezea makabati ya jikon au tv show case kwa anaejua ni nani anauza hizo board hapa Dar es Salaam atakua kanisaidia sana au kama kuna page ya insta inayouza hizo board anisaidie mfano ni kama haya makabati nime...
Mimi faida napata kuku wangu nilichukua mwaka jana may wakaanz kutaga sept mwishon hadi oct wakawa wameanza kujilisha na kuanza kukusanya faida.
Hela kurudi itarudi tu sabab faida aiona na kuna vitu kama jengo na fensi ni la milele cage life span yake ni hadi miaka kumi so hivi vitu nachukulia...
Nimeona ni kushauri ki uhalisia mm ni mfugaji pia.
Kuku hao 500 mtaji wake walau uwe na milioni 20 cash otherwise unaweza kuwauza iko hivi
Unawanunua kwa 500@2400=1200000
Chakula kwa mwezi ni wastan wa milion 2 so miez 6 ni milion 12
Banda lets say 4m
Mengineyo...
Hìi ni kweli kabisa hata mm nimeanza na layers pesa naiona sana hadi nashangaa kwann nimechelewa sana kuanza.pia biashara ya ufugaji kuku ni mradi wa nyumbani hauna purukushan za TRA wala kodi za frem pia unatumia muda mchache sana kuwahudumia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.