Duuu huyu mtoto aliyeuliza maswali hayo yote kweli bado tu anasoma shule ya msingi !!?!kwa elimu ya kibongo angekuwa ana degree moja , ila kwa sababu ametumika kufikisha ujumbe hapo tunasema message sent na mimi nasema ccm wanapumulia mashine wala 2015 wasijidanganye kabisaaa!!! kwamba...
Kwa hili watanzania mmenigusa cha kufanya hizi message wanazotupa pindi umejiunga zitumike (kuwamaliza) kupashana habar mapema . Cha kufanya unaandika ujumbe wa tar ya mgomo then unaanza kuforward sms ukimalizia na neno mtumie na mwenzio ujumbe huu, nataman siku ifike mapema, tukiungana tunaweza!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.