Recent content by dila sahani

  1. D

    huyu Afande mzima? au...?

    Akija mtu nyuma akapita nayo mashine itakula kwake hapo atagundua kama zinamtosha.
  2. D

    yupi kati ya hawa ana nguvu za kiume?

    Jaman watanzania tujaribu kujadili hoja zenye kuleta maendeleo na kuelimisha uma .
  3. D

    Walimu Watakapoanzisha Kampeni Rasmi Madarasani Kuing'oa CCM

    Duuu huyu mtoto aliyeuliza maswali hayo yote kweli bado tu anasoma shule ya msingi !!?!kwa elimu ya kibongo angekuwa ana degree moja , ila kwa sababu ametumika kufikisha ujumbe hapo tunasema message sent na mimi nasema ccm wanapumulia mashine wala 2015 wasijidanganye kabisaaa!!! kwamba...
  4. D

    Tukitaka kodi ya SIMcard ifutwe tufanye hivi

    Kwa hili watanzania mmenigusa cha kufanya hizi message wanazotupa pindi umejiunga zitumike (kuwamaliza) kupashana habar mapema . Cha kufanya unaandika ujumbe wa tar ya mgomo then unaanza kuforward sms ukimalizia na neno mtumie na mwenzio ujumbe huu, nataman siku ifike mapema, tukiungana tunaweza!
Back
Top Bottom