Shule ni muhimu sana...Hivi mtu anaweza kuambia kitu ambacho unaona kabisa hii si kweli bado unabishana ..
Hiyo inaonyesha hata wewe uelewa wako ni sifuri.
Mleta mada usiwe mburula...hiyo inayoonekana pichani ni sehemu ya biashara sasa mnafanya kijiwe cha kuvizia wateja matokeo yake wateja hawafiki wanawaogopa nyie wapiga story vibarazani.big up alieweka hzo nondo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.