Recent content by dikdik

  1. D

    Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

    kama una mtu arusha jaribu pia kumwambia labda akuangalizie zuri ipo maeneo ya nakumati au kama mwanza kuna duka la SH Amon sema wao wanaweza uza bei zaid
  2. D

    Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

    parachute ni 4000 mpaka 10000 elfu inategemea na size na shea butter ni 35000 pale zuri ila maeneo ya kinondoni wanapima kilo 45000 robo 15000 sema kwa kinondoni sifahamu ipo maduka gani
  3. D

    Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

    pia hiyo parachute waweza changanya na shea butter
  4. D

    Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

    parachute ni aina ya mafuta ya nazi yapo kwenye chupa ya blue
  5. D

    Jinsi ya kufuta na kuondoa Michirizi (Stretch Mark) kwenye ngozi

    tafuta ile original jaribu kwenda zuri akama upo dsm zinapatikana pale
  6. D

    Mke wangu anunuliwa nguo za ndani na mwanaume

    yaan ingekua mm wala nisingeandika jf swali kwako je ulishawahi mnunulia mkeo chupi na bra?
  7. D

    Mke wangu anunuliwa nguo za ndani na mwanaume

    acha uboya ndugu jiongeze
  8. D

    Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

    Habari naomba unisaidie matokeo ya 0800
  9. D

    Hivi ni kwanini wanawake wengi hujivunia sana makalio yao?

    [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] huna lolote
  10. D

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kibera hiyo ndani ua Nairobi twn
Back
Top Bottom