Recent content by Digdig1977

  1. Digdig1977

    Kuna mitihani ya maisha inawakuta watu na unaweza kuwaza hivi Mungu ananipima imani?

    Aisee kumrudisha inataka Moyo wa chuma siyo huu wa nyama
  2. Digdig1977

    Ukitaka papuchi tokea wanawake 35+

    Weee una umri gani now? Je una mke ? Kama unaye kwa hiyo na wa wako anagongwa? Kwa mtazamo wangu kugongwa ni hulka ya mtu, na siyo wote wenye umri huo
  3. Digdig1977

    Nataka kuoa Mwalimu, mnanishaurije?

    Walimu wako wengi, unamsemea wa level gani Mkuu!! Maana ht Mapro pia walimu!! Je ww elimu yako ni ya level gani??
  4. Digdig1977

    Bad News kwa MMU

    Ngoja waje, tuyajadili
  5. Digdig1977

    Apewa talaka baada ya ndoa.

    Ngoja tu nije pm aiseee
  6. Digdig1977

    Apewa talaka baada ya ndoa.

    Mhhh, Sorry mirna92, hilo jicho kwenye avatar yako ni lako kbs?
  7. Digdig1977

    USHOGA: Hali ni mbaya sana Ulaya. Je, Afrika tutapona?

    Mbn inafunguka fresh tu, nimefungua, bahati mbaya saa naangalia wife kanikuta, Na hajaniuliza, kapita kimya kimya , cjui baaday kitatokea nn baina yetu
  8. Digdig1977

    Wanaume!!: kuna ukweli hapa?

    Na kweli ni upofu agata
  9. Digdig1977

    Wanaume!!: kuna ukweli hapa?

    Huyo Nikki huyo manzi wake hatamwacha salama maana mpk amefikia hatua ya kukosoa maandiko matakatifu
  10. Digdig1977

    Leo ndo ile siku kubwa

    Ndege JOHN,!!! hili jina siyo geni kwangu, ndo maana sichangae post zako!!! Huwa hueleweki
  11. Digdig1977

    Unapooa mwanamke zingatia haya

    Nayo neno mubashara dark angle
  12. Digdig1977

    Nimemkuta na tattoo

    Well said kibuyu180 , wapo wengi ambao hawajachora tattoo lkn Malaya wa kutupwa
  13. Digdig1977

    Mwanamke ukiamua kuchekupa JIPANGE. Mie ubwege huu siwezi utaondoka na mama yako

    Hapana, Roho laini sana Mkuu, sinaga uwezo wa kuvumilia kiasi hicho!! Juzi kati kuna uzi niliusoma hapa hapa, eti lijamaa limeondoka na demu wake weekend nzima!! Kisa!! Her first love!! Mbn ht hizo nguo zake alizoacha ndan kwangu angezikuta Dampo
  14. Digdig1977

    Mwanamke ukiamua kuchekupa JIPANGE. Mie ubwege huu siwezi utaondoka na mama yako

    Aisee mkuu!! Sidhan kama ningeweza kusubiri mpk arudi, kwa upande wangu nadhan mamake ndo angetangulia na talaka ya mwanaye! Sijui!! Labda mm nina moyo mwepesi, ntawezaje kukaa na huyo mamkwe wakati mwanaye kaniaga anaenda kumwona??
  15. Digdig1977

    Mwanamke ukiamua kuchekupa JIPANGE. Mie ubwege huu siwezi utaondoka na mama yako

    Mhhh, Itakuwa men wengine wana mioyo ya chuma kweli!!! Yaan aniage Ijumaa anaenda kumwona mamake, then at the same day mamkwe afike kwangu, aiseee mbn pangechimbika bila sururu
Back
Top Bottom