Jamani tukae tutambue bora ccm iyendelee kukaa madalakani kuliko chama kingine me naona wote wapenda pesa za tz bora ccm kuliko chama kingine kikiingia madalakani tutalia machozi ya damu......ASANTENI WATANZANIA WENZANGU
Nataka mtaji, mimi nina Diploma ya IT na ni mtaalamu sana kufunga CCTV Camera, kwahiyo nikipata mtu akiniwezesha nitashukuru au akinitafutia kazi ili nipate mtaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.