Pamoja kuwa wapinzani wanaibua uozo wa chama tawala, pia wanapaswa kuonyesha NJIA M BADALA yakulikomboa taifa ktk changamoto linazopitia, kwakuishauri serikali iliyopo madarakani, maadui wa taifa hili ni UJINGA, MARADHI, na UMASIKINI. Sote tuwe namikakati yakupambana na maadui hawa lkn...
Madai aliyotoa Mama yanauzito wake, lkn wasifanye hujuma ilikuifunga JF, Lkn piawabunge wamekuwa wepesi kujadili na kutolea maoni kwa nguvu nyingi masuala yasiyomkwamua MVUJA JASHO ktk lindi la umasikini, mf Mabadiliko ya katiba, mwisho wasiku walicho kifanya hubakikuwa SIFURI.
Mtu mzima dawa Mh.ZZK anapaswa kumpa heshima Dk. Slaa kwakuwa kamzidi, pamoja na hayo Kiongozi bora ni muhimu lkn wananchi twapaswa kuwa bora zaidi ktk kumchagua huyo kiongozi, pia kuhakikisha tunamsimamia iliatimize wajibu wake inavyostahili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.