Ahsante! Nitajaribu kwenda tena kuuliza
Miezi miwili iliyopita nilienda hapo Nimetafuta sana kwenye hayo maduka ya Wahidi Kariakoo lakini nakuta wana L805 kila duka maana wanadai L805 ndiyo toleo jipya badala ya L800 ila mimi kwa kuwa nilishaitumia L800 na nikaiamini utendaji wake ndiyo maana...
Ukiona mwenzio anakula na wewe tengeneza jitihada zako kutafuta kula kwako
usitengeneze jitihada nyingi kumwaga ugali wa mwenzio
Kila mtu kazaliwa na nyota yake, hata mkizaliwa mapacha mkafanana sura ila roho zenu zitatofautiana
Maana naona watu wanakesha Bashite, Bashite too much, Wakati...
Sawa pengine Clouds hawakutendewa haki, lakini kumbuka kabla ya Nauye kupata maelezoya Mkuu wa Mkoa kuwa alienda pale kufanya nini? na tatizo ilikuwa ni nini? alitamka kuwa Kitendo alichafanya Makonda ni Kama kuhinajisi tasinia ya Habari na kumbuka kauli hii aliitamka kabla ya mlalamikiwa...
Haraka haraka ndiyo iliyowaponza
Yaan kamati nadhani iliundwa huku ikiwa na majibu tayari maana kabla ya kamati kutoa taarifa tayari vyombo vya habari vilishatangaza kutoandika habari za Mkuu wa mkoa (inamaanisha majibu yalitoka kabla ya uchunguzi)
Nabii wa kweli tutamtambua kwa matendo yake
IMEANDIKWA
" Ndiyo,’ yenu iwe ‘Ndiyo’ na
‘Hapana’, yenu iwe ‘Hapana.’ Lo lote zaidi ya hili
latoka kwa yule mwovu.’’
" akikupiga kwenye shavu la kuume, mgeuzie na la
pili pia" (MATHAYO 5:31-39)
Kwa kutumia kifungu hiki tu unatambua yupi mtumishi wa...
Ndugu zangu naomba msaada wa ushauri au tiba kwa anayejua
Ninaye kaka yangu, tangu akiwa mdogo hakuwahi kupatwa na tatizo la kuzimia
Tatizo ili limejitoka kwa mwezi huu imetokea mara mbili, na yeye anasema hajihisi kuumwa sehemu yoyote tatizo hili linamtokea akiwa anaendelea na shughuli zake...
Mshahara ni
Mshahara ni maelewano maana siwezi nikasema msharaha kiasi gani kabla sijajua kazi iko eneo gani na majukumu gani ya kazi labda hiyo hadi kuongea na mhusika
Nafuta kazi ya stationary au kwenye ofisi yoyote
Elimu: form IV na pia nimesomea computer kama:- ms word,excel,publisher,PowerPoint,internet na adobe photoshop
Uzoefu::3yrs nikifanya kazi hii ya stationary
Simu:0675326247
Naishi Tegeta
kama mtu unahitaji au kuna sehemu umesikia tuwasiliane
Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.