Nafasi za kazi

Nafasi za kazi

CHAPKIA

Member
Joined
Jan 31, 2014
Posts
13
Reaction score
0
NAFASI ZA KAZI ZA KUJITOLEA


Taasisi ya fedha ya Mikopo Finance Limited iliyopo Dar es Salaam inatangaza nafasi za kazi za kujitolea katika nafasi Ifuatayo; Ofisa wa kukusanya madeni (Recovery Officer)-Nafasi tatu (3) Kazi kuu ya Afisa itakuwa kumsaidia Afisa mikopo kukusanya marejesho ya mikopo kutoka kwa wadaiwa wetu. Maombi yatumwe katika email Ifuatayo; hr@mikopofinance.co.tz

MIKOPO FINANCE LIMITED

P.O.BOX 15297
DAR ES SALAAM

www.mikopofinance.co.tz




Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 12/02/2015
 
NAFASI ZA KAZI ZA KUJITOLEA


Taasisi ya fedha ya Mikopo Finance Limited iliyopo Dar es Salaam inatangaza nafasi za kazi za kujitolea katika nafasi Ifuatayo; 0 [FONT=&qu77ot] [/FONT] 3Ofisa wa kukusanya madeni (Recovery Officer)-Nafasi tatu (3) Kazi kuu ya Afisa itakuwa kumsaidia Afisa mikopo kukusanya marejesho ya mikopo kutoka kwa wadaiwa wetu. Maombi yatumwe katika email Ifuatayo; hr@mikopofinance.co.tz

MIKOPO FINANCE LIMITED

P.O.BOX 15297
DAR ES SALAAM

www.mikopofinance.co.tz




Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 12/02/2015
Unyonyaji mwingine wa mkoloni mweusi huu.
 
Recovery officer halafu kujitolea,hawako serious hawa
 
Haki za binadamu mkuje huku...kuna unyanyasaji wa kukosa ajira.
 
NAFASI ZA KAZI ZA KUJITOLEA


Taasisi ya fedha ya Mikopo Finance Limited iliyopo Dar es Salaam inatangaza nafasi za kazi za kujitolea katika nafasi Ifuatayo; Ofisa wa kukusanya madeni (Recovery Officer)-Nafasi tatu (3) Kazi kuu ya Afisa itakuwa kumsaidia Afisa mikopo kukusanya marejesho ya mikopo kutoka kwa wadaiwa wetu. Maombi yatumwe katika email Ifuatayo; hr@mikopofinance.co.tz

MIKOPO FINANCE LIMITED

P.O.BOX 15297
DAR ES SALAAM

www.mikopofinance.co.tz




Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 12/02/2015

Kweli mnataka ku maximize profit lakini si njiaa aiseee, ajirin watu.
 
kwahkwahkwah. Chapkia amepost kwa kujiamini sana. Acheni kuweni wavivu wa kufikiri. Huwezi punguza gharama kwa style hiyo, mtaja kuibiwa bure . Tafuteni fursa
 
jaribuni kufikiria hiyo kazi lazima mtambue mtu kujitoa alafu ina vitisho vingi ikiwemo uhasama. ugomvi nk
hivyo ni bora ukaajiri vinginevyo utasabisha jamaa wawe wanamalizana kiaina na wateja huku wewe unaingia hasara. kama mkuu jaribu tutoa huduma nzuri kwa mtu mnaemwajiri nae ajitoe kufanya kazi kwa moyo mmoja. ni ushauri tu coz kazi nimezifanya kuyoka kampuni ya ndg yangu naelewa tabu zake.
 
NAFASI ZA KAZI ZA KUJITOLEA


Taasisi ya fedha ya Mikopo Finance Limited iliyopo Dar es Salaam inatangaza nafasi za kazi za kujitolea katika nafasi Ifuatayo; Ofisa wa kukusanya madeni (Recovery Officer)-Nafasi tatu (3) Kazi kuu ya Afisa itakuwa kumsaidia Afisa mikopo kukusanya marejesho ya mikopo kutoka kwa wadaiwa wetu. Maombi yatumwe katika email Ifuatayo; hr@mikopofinance.co.tz

MIKOPO FINANCE LIMITED

P.O.BOX 15297
DAR ES SALAAM

www.mikopofinance.co.tz




Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 12/02/2015

Ukoloni wa mtu mweusi yaani buree??acheni upimbi huoo!!mtajiajir wenyeweeeee!!!kitaa amnaa mjinga wa kukulishaa tumbo lakoo wakati lake lina njaa!!!
 
Kampuni unafungua wewe ili upate faida halafu unataka watu wajitolee.
Masaburi wewe!!
 
Yaani mtu anajitolea kwa muda usifahamika ma pia hapati ajira baada ya hapo?
 
nauza kiwanja mkoa wa tanga eneola kange BLOCK ' D' SIZE NI MIDIUM TSH.6milioni. piga 0784 766837,0756 860578
 
recover officer kujitolea hapana naijua hyo kaz
 
Wizi mtupu...yn kwnd kudai maden bdo nijitolee...mleta uzi zinakitosh kwl?!
Mtakaoend ni bora mkusanye marejesho yote afu mumfanye vby hyu mnyonyaji anayejitoa akili ili ashike adabu.
Chukua babu na bibi yko uwaweke hpo wakadai nyambafu ww....
 
Back
Top Bottom