Recent content by Diallo genius

  1. Diallo genius

    Hapa ni tulie au nile kona.

    Kwakweli sina akili.
  2. Diallo genius

    Hapa ni tulie au nile kona.

    Respect kaka, nimekuelewa sana.
  3. Diallo genius

    Hapa ni tulie au nile kona.

    Ushauri nauchukua ila mnachozingua ni kama kitu nilichofanya haki exist hii dunia, yaan kama mimi nimekosea sana mpaka kuitwa ng'ombe? Labda niulize kulikua na ubaya gani mtu kushauri tu kwamba hapo umekosea acha au Fanya hivi ili iwe hivi? mtu anakuja ooh wazazi sijui wanapoteza hela kwamba...
  4. Diallo genius

    Hapa ni tulie au nile kona.

    Nimekupata mkuu
  5. Diallo genius

    Hapa ni tulie au nile kona.

    Ili nisiwe ng'ombe inatakiwa nisijihusishe na mahusiano sio? mbona hapa wewe ndo unafikiri king'ombe ng'ombe.
  6. Diallo genius

    Hapa ni tulie au nile kona.

    Home wanataka ufaulu ndo furaha yao mambo ya ulikua unafanya nn chuo au hela tuliyokua tunakupa uliitumia vipi hayo hayawahusu mkuu.
  7. Diallo genius

    Hapa ni tulie au nile kona.

    Mkuu mi nimekuelewa sana.
  8. Diallo genius

    Hapa ni tulie au nile kona.

    Moja ya jukumu la msingi la mzazi ni kusomesha, nichukulie kama ng'ombe lakini wazazi wako proud na mm kuwa chuo kikuu coz wanaona many kids mazingira ya home ambao tulianza wote primary wakiwa hawajafika level hii so mapenzi yasikufanye uone mzazi anapoteza hela na ilihali kitaaluma sizingui.
  9. Diallo genius

    Hapa ni tulie au nile kona.

    Sasa kama kichwan huna tope, matusi ya kuhusisha wazazi yameingiaje hapa?
  10. Diallo genius

    Hapa ni tulie au nile kona.

    Unajikuta uko serious ila kumbe unapenda baby face dah, sura ya dp imekushtua.
  11. Diallo genius

    Hapa ni tulie au nile kona.

    Baada ya nukta ya pili ndipo ushauri wako ulibidi uanzie ungeeleweka vizuri ila umeanza na nasaha ambazo kimsingi ni pumba tupu.
  12. Diallo genius

    Hapa ni tulie au nile kona.

    Mumeo lazima anazilamba sana mbususu huko nje, wanaume hawataki userious kama wako.
Back
Top Bottom