nmeona vitab vingi mara sjui biblia mara sjui rich daddy ila dah kwakweli Holly Quran ni kiboko yao maana kila unapokwenda kwenye utabibu kwa maswala ya kiroho au ya kimwili lazma wakitumie kwakweli ....Quran kiboko ya vitab vyote
dah dogo ata mm nlisemaga hivyo vivyo hapa nagonga 32 sina hata kitanda nalalia godoro la 60 tsh ,,tunaambiwa wanawke ni weng kuliko wahanaume ila mm nimeambulia kua pekee yang sasa sijui haliehisabu aliwahisab wanawake wa wapi kwakweli..
mkuu nlipoanza kushtuka kua jua limeshazama kiupande wangu baada ya kumtongoza dada mmoja under 25 maana si kwa shikamoo zile ,,kwakweli nlikua na mawazo sana na ndipo nlianza kufanya mlinganisho wa kiumri na baadhi ya watu kwenye mitandao kwa kupitia google kimuonekano najiona bado chali ila kw...
kaka ni ngumu maana tayar tumeshazaana na nyinyi mm nna familia kamili huku na nimekuja kama ni mzalendo wa nchi yangu chuki sio kikwazo ,,karibu tanga wapemba tunjazana huku
natoa ushughuda ni mwaka tu sasa tangu nifungue bisahara yang ya chakula mkoa fulan hivi ,,,nakumbuka nililetewa habar na mwamba means mshkaj wangu kua aliskia tetesi wakat yupo bar watu wananijadili kua huyu jamaa amewezaje kuisimamia buashara yke mpka muda huu maana weng wanakuja wanakaa wiki...
dah jamiiforum kweli kiboko,, nna manzi yangu soon anaenda oman kikaz sasa alinambia nimpatie ushauri ,,,nmekaa nkafiikiri kuwaza na kuwazua nkaamua njitose JF kwakweli baada ya kuona haya madini nmefurahis sana wacha nkamshauri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.