Recent content by devisfist

  1. devisfist

    Swali lolote kuhusu mambo ya upande wa pili (kiroho)

    Nielekez jinzi ya kumsoma m2 mkuu ni2mie njia gan na iyo invisible pia inafanywaje
  2. devisfist

    Swali lolote kuhusu mambo ya upande wa pili (kiroho)

    Sawa mkuu meditation m naifany San labda ndio inawez kuw chanzo cha ndoto zang au?
  3. devisfist

    Swali lolote kuhusu mambo ya upande wa pili (kiroho)

    Kama vile Kupaaa kumgundua m2 mbaya au mzur na kujuwa ki2 kabla m2 ajaongea pia Ku control vi2 kama maji ivo vyote nafanyag ndotoni nauwezo wakufany chochot kule tofaut na huku nataman cku moja nifany mambo ya ndotoni kweny ulimweng huu
  4. devisfist

    Swali lolote kuhusu mambo ya upande wa pili (kiroho)

    Mkuu ivi mambo ninayo fanya ndotoni nawez kufany pia kweny ulimwengu Wa nyama?
  5. devisfist

    Kupatwa kwa Jua: Sayansi imethibitisha Mungu hayupo

    Mkuu naweza kusema hayupo kwasabab 1 Mungu angekuepo nisinge mjuwa kwa imani 2 kwa nini tunasumbuli na vi2 ka magonjwa mwilini mwe2 ilihali Mungu yupo 3 uyo Mungu angekuepo tunge mjuw pasipo kupitia wa2 4 uyo Mungu kwanini tumjuwe kiugumu ivi Mkuu Mungu kaniumba wakat anajuwa kabisa mm...
  6. devisfist

    Kupatwa kwa Jua: Sayansi imethibitisha Mungu hayupo

    Mungu hayupo angekuepo tunge mjuwa pasipo nashaka yeyote Binadamu ndie alie muumba mungu kwa mfano wake
  7. devisfist

    Mungu hana muujiza, unaitwa muujiza kwa sababu akili za binadamu haziwezi kuelewa

    Kama unafaham kuhusu iyo akili ya 90% inatumikaje tufahamishanee itakuwa vizur zaid mkuu
  8. devisfist

    Mwanzo wa meditation

    Sawa mkuu nitajifunza cku nyingine ngoja nikomalie kufungua jicho la tatu kwanza Shukuran.. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. devisfist

    Mwanzo wa meditation

    Rakims ivi kunauwezekano wa kucontrol maji Naitaji nijue pia nivumilie Sent using Jamii Forums mobile app
  10. devisfist

    Mwanzo wa meditation

    Rakims vipi kuhusu nyama siluhusiwi kula kabisa niko tayari kuacha kama inamadhala Nijulishe tafadhal mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. devisfist

    TEAM B-13 ushuhuda wangu juu ya supernatural powers

    Na inachukua siku ngapi mkuu kuwa na uwezo kama uwo ulichukua cku ngap kujifunza mpaka hapo na ulijifunzia wapi Majib tafadhal Sent using Jamii Forums mobile app
  12. devisfist

    TEAM B-13 ushuhuda wangu juu ya supernatural powers

    Naitaji sana kujifunza hii kitu lakini sijapata mwongozo mzuli nifundisheni basi jamani Sent using Jamii Forums mobile app
  13. devisfist

    Mwanzo wa meditation

    Ahsante Sana Rakims nitaendelea kumeditate na kila step ambayo tafika nitakuletea mlejesho wangu kwamba nimefikia wapi Sent using Jamii Forums mobile app
  14. devisfist

    Mwanzo wa meditation

    Ndio imenitokea nilihisi mdudu kunitembea nikajikuna je nilikosea kufanya ivo Naitaji kujuwa pia nivumilie na maswali yang Sent using Jamii Forums mobile app
  15. devisfist

    Mwanzo wa meditation

    Rakims ivi kuna dalili zozote ambazo unaweza kuzijua kama third Eye inaanza kuwa awake dalili za mwazo zipoje Naitaji kujuw tafadhal Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom