Recent content by deusm

  1. deusm

    Nini Maana ya Msukule kwa Kingereza?

    Hakuna tafsiri ya neno'' msukule'' kwa kingereza maana msukule ni mtu aliechukuliwa kichawi watu wakaamin kuwa Fulani kafariki kumbe yu hai. Ndo maana wabongo tukaita hivyo. Wenzetu wazungu hawana misukule ndo maana neno hili halipo in English!!!!
  2. deusm

    YUPI NI RAIA WA TANZANIA?

    Kwanza tambua kuna uraia wa aina tatu 1:uraia wa kuzaliwa. Mama na baba au ukoo kwa ujumla ni wazawa. 2:Raia wa kujisajili. Mtu kutoka nje ya nchi na akaomba uraia akasajiriwa kwa vigezo maalumu. 3:Uraia wa kurithi. Mfano wewe,ukaenda kukaa America na mkapata mtoto/watoto ,huyo mtoto/watoto...
  3. deusm

    Jambazi akirudisha silaha kwa hiyari, je anakamatwa au anaachiwa?

    Mimi naonwa lazima atakamatwa maana si kajipeleka
  4. deusm

    Whatsssssss!!!!!!!!!????

    Jukwaa hili ni zuri maana lina mambo mengi sana ya kuelimisha Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
  5. deusm

    Whatsssssss!!!!!!!!!????

    Mungu jamani anaweza Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom