Watu wanajadili crucial points kuhusu maisha then we unadomoa tyu kile unachojickia !!! If you don hav something to say about da above topic pls shut up ua mouth: acha watu wanaohis hii mada inawagusa wajadili
Huyu mdada msimshangae sn huenda thinking capacity yake n ndogo ujue unaweza ukasoma mpaka master's still ukawa hujui jinsi ya kuishi,kusema na watu !!! Hata hvo c kila alieko kweny hii forum kasoma zas y even her comments has no fruits
Wakuu naomben ufafanuz!!!! Nimechek now nacte wamefungua lakn nikichek n kwa ajili ya astashahada na stashahada je kwa watu waliotoka dip kwenda degree mbona cjaona jaman pls naomben nijue
Naomba ufafanuzi juu ya kuomba vyuo!!
Nimemaliza dip mwak 2014 na overall GPA yang ni 3.7. Nishaomba mkopo Loans Board.
Kama nijuavyo kwetu sisi tuliomaliza dip tunafanya maombi kupitia NACTE lakini NACTE walishafunga.Vipi naweza omba kupitia TCU au baadae NACTE wataruhusu tena watu kuomba?
Sasa wadau hii thread m nimeielewa bt naomb ufafanuz m Nina GPA 3.7 na nimeomba mkopo tayari! Sasa swali lang liko namna hii " diploma wanaombwa kuapply kupitia nacte na nacte tayari walishafunga udahili je hawa watu watafuangua tena au naweza tyu kufanya kupitia TCU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.