nenda bugando tu dr kilonzo huwa anabei labda kama unatumia bima ya afya na pia hata dr kilonzo akishindwa anakwambia uende bugando sasa ni bora uende bugando tu
asanteni wote kwa ushauri leo nilimtembelea doctor wa wanawake na nikamweleza kila kitu akaniambia itakuwa appendex nimepatiwa dawa nimeambiwa nirudi next week.japo nashindwa kuelewa kama ni apendex kwanin niumie nikiwa period na nikimaliza tu
asante leo nimemtembelea doctor wa wanawaek huku arusha nikamwelezea kila kitu akaniambia kuwa inaweza kuwa ni appendex nimepimwa mkojo kisha nikapatiwa dawa nimeambiwa nirudi next week
Jamani naomba msaada kwa anayejua,mimi nina tatizo la uvimbe kwenye kizazi nilijua hivyo baada ya kuwa nasikia maumivu kuanzia ninapoanza period mpaka namaliza nikaamua kwenda hospital ndio wakaniambia nina uvimbe ,niliandikiwa dawa nikamaliza lakini nikaendelea kusikia maumivu,nikaamua kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.