Mkuu naomba nikutambue aisee kipindi hiko sisi ndio tulianzisha mgomo huo, tukiwa form five, form 6 watarajiwa, EMILY MAYANI, ALI NGUA, PASCAL AKA AGUERO, ADO NYOTOKA,
Ukimya mkuu ilikua tarehe 29 May 2013 niko form 5 hapo usiku usiku siku kabla tulikaa kikaa kikao na Njawa na cabinet yake hadi asubuhi wakaishia kututukana tu na HP wetu EMILY MAYANI. nakumbuka mengi sana Hakika sisi ni Wazumbe
Oyaa ni kweli kabsa bizo, nimesoma kipindi hiko cha kina Mnubi Simba, tumekula sana ngama, nyuji piia tumepiga sana maso, me nilikua mtu wa Chatuzone, nimekaa Mkwawa 4 pale karibu na kwa mwalimu Temba, baada ya mgomo 2013 tukabadllishiwa mabweni nimekaa Karume 6 ,
Determination is our Motto.!
Kaka lina amekuja kuliwa na mwanangu mimi green city kwa laki 5 kagharamiwa flight chakula na hotel , na tumekunywa nae sana pombe ila mwana akapiga chini japo demu alifall kwa mwamba sema jamaa analalamika demu ana vizinga balaa mara elfu 70 anunue umeme sjui nni jama akapiga chini, na jamaa...
Wakuu habari!!
Kuna taasisi imetangaza kazi vigezo ninavyo na ni professional yangu kabisa sasa naomba kuuliza hivi inawezekana kuomba na kupata kazi kwenye taasisi nyingine kupitia utumishi baada ya kupata kazi hivi karibuni katika halmashauri flani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.