Recent content by desert girl

  1. D

    MADA MOTO Chanel ten, Hali ya kisiasa Zanzibar

    You made my day....hahaaa.
  2. D

    Mgogoro wafukuta NCCR - Mageuzi

    Nakuona kama mwendawazimu vile. Niliachiwa jimbo na cuf na cdm hawakusimamisha mgombea. Joka la kijani likatumia hila zake wakanichakachua jimbo..mpaka leo nina evidence mkononi. Mafisadi ndo waliwekeza kuniangamiza mimi kama Kafulila sijapoteza kitu na waliodhulumiwa ni wapiga kura. Leo hii...
  3. D

    Naipongeza rasmi UKAWA mpaka hapa ilipofikia

    True big up ukawa endeleen kudumisha umoja huu msirud nyuma maana ccm inatafuta jinsi ya kusambaratisha umoja huu Changamoto ni sehemu ya maisha na inatoa fundisho kuona wapi hapakuwa vizur ili kupaimarisha
  4. D

    Mbowe, Jipime kwa mustakabali wa CHADEMA, Kinusuru Chama

    Naunga mkono mada Maccm msidhan CHADEMA tutarud nyuma hakuna kulala Na sikilizia bunge la awamu hii Makofi ya ndioooooo ya ccm yataisha tu miswada na bajet zipitishwe kwa mchanganuo/anaysis ya kutosha sio kukurupuka na kupiga makof ovyoovyoooooo
  5. D

    Bunge la 11: NDIYO za wabunge wa CCM kupitisha Miswada kuisha!

    Big up wapinzan Bungen muwe makin wananchi tumechoshwa na ndioooo za ccm kupitisha miswada na bajet umakin unahitajika ili wananchi wafaidike na rasimal za nchi Najua upinzan tumechagua watu makin watakaosimamia rasilimal ya nchi Tunawatakia kika la her wabunge wetu wa upinzan
  6. D

    Yaliyojiri: Mkutano wa kufunga kampeni za CHADEMA - Jangwani, Dar - Okt 24, 2015

    Looooooooowaaa?aaaaasaaaaaaaaa Rais wa Tanzania Tumekukuali leta mabadiliko hadi dunia ishangaeeeeeeeeee
  7. D

    Ajenda ya kuhamasisha vijana kufanya fujo imegonga mwamba!

    Yap point mtanzania mwenzangu mwanamabadiliko Sasa imetosha kwa upuuz ambao tumefanyiwa Wanapigania tu matumbo yao huku wananchi wakifa kwa kukosa huduma bora Mahospital hakuna hata panadol Wagonjwa wanalala 3-4 kwenye kitanda 1 huku viongoz wachache wakutunyonya kodi na rasilimal za watanzania...
  8. D

    Kikwete: Atakayekaidi na kubaki kituoni kulinda kura "HATAVUMILIWA"

    Hapo sasa Wengine tulikesha kituon hadi asubuh ili tujiandikishe Kura ni lazima zilindwe hadi kieleweki kama ni sheria tutazifuata kwa kukaa mita 200 toka kituo cha kupigia kura This time hatuchakachuliwi hadi mbichi na mbivu zijulikane
  9. D

    Yaliyojiri Nyamagana Mwanza: Mkutano wa Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa - Oktoba 12, 2015

    Leo wanachadema town maandamano yakikuwa makubwa ya kumpokea rais lowwassa na walikuwa wanaimba bora ukimwi kuliko ccm wananchi tumeçhoka na kijan
  10. D

    Yaliyojiri Nyamagana Mwanza: Mkutano wa Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa - Oktoba 12, 2015

    Waooooooooo Mwanza inatisha watu kama siafu mabadiliko ni lazima
  11. D

    Simbachawene: Mitambo ya kuchakata umeme wa gesi sio ya serikali ni mali ya mtu binafsi

    Nao mafisad tu umesahau ccm ina mafisad ki bao wao wanajal matumbo yao na familia sao wananchi hawathamini after uchaguz
  12. D

    Simbachawene: Mitambo ya kuchakata umeme wa gesi sio ya serikali ni mali ya mtu binafsi

    Angalau umezungumza point nimeipenda tukazane tupate wabunge weng wa upinzan, wabunge wa ccm wao ni kupiga makofi na kusema ndiooooo tunaunga hoja mkono bila kufikiria athar zake Hapa ni mabadiliko tu tusifanye kosa mwaka huu Ccm out tuwaachie wapinzan nchi nao tuwaone uwezo wao Masisiem...
  13. D

    Wananchi Mara wapiga deki barabara Lowassa apite

    Wana wa tarime big up Tupo pamoja mwaka huu masisiem yatanyooka tu yapishe rais wetu apite yasituletee uck
  14. D

    Sumaye ammaliza Lowassa badala ya kunadi

    Naona upelekwe mirembe upo sawa kwel?ndio maana mliamua kuwavalisha hao vichàa wenu tshirt za cdm wakafanye fujo wakijifanya wafuasi wa cdm.hapo bado mtatapatapa sana lkn ukweli 25
  15. D

    CCM yazidi kupukutika Arusha, Mwenyeviti wawili wahamia CHADEMA

    Oooooh! Huna sera Ndg zangu wanadai na sisi tuchaguepo raisi wa nchi, then mkishampata huyo sisuem what next.maisha yako yatabalika? Au uhohehahe ndio unaongezeka kazi kwako 25 october fanya maamuzi sahihi
Back
Top Bottom