Biblia inasema mwanadam amemtawala mwanadam mwenzake kwa kumuumiza Mhubili 8:9 lkn Mungu atakuja kuwaondoa Methali 2:21-22. Jambo la msingi ni hili Mathayo 6:9-10 huo ufalme ukija utaondoa matatzo yote hvo leo hata awe nani madarakan lazma iwe hvo kwan binadam hakuumbwa ili amtawale binadam ila...
WATU HAWATAKI KUJIFUNZA NA KANISAN WANAENDA KIDESTURI. Yesu mwenyewe alisema hakuna mtu mbingun lkn watu bado mnakubali kudanganywa yohana 3:2-3 chunguzen na muwe tayare kujifunza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.