Kwa mtu mwenye akili na ufaham mzuri ni aibu mtu kuthubutu kusema mbele za watu kua umemdukua mtu au kumfuatilia kwa siri. Kila naposikia mheshimiwa anakiri kufanya hivi, naona aibu kana kwamba ameonyesha utupu wake hadharani.
Jamaa kakurupuka na inaonyesha ana akili finyu, Lissu alisema tangu kuanza kwa multiparty system hapa Tanzania, hao aliowataja kina Dr Cleruu na Karume walishambuliwa ktk kipindi cha multiparty system in Tanzania? ?
Unaonyesha ulivyo punguani na mwehu, ni kweli ulikua Israel lakini ulikua huko kama idiot kutoka Tanzania,hivyo hukujua nini kinaendelea, shame on you!
Ni zamu ya kanda pendwa kula, sasa utaachaje kurudi nyumbani wakati ni wakati wa kula , kunywa na kustarehe? Amechagua fungu lililo bora, wakati ukuta.
Pole sana mkuu, ukweli ni kwamba kuachwa ni kubaya kuliko msiba lakini inabidi tushinde laa sivyo hiyo hali inaweza kuharibu maisha yako yote.
Huna budi kusahau mkuu.
Faida tunayopata ni kodi kwenye interest ya huo mkopo ila tukizuia hela za mkopo kihivyo tutaathiri sector ya real estate.
Hata haya majumba na magorofa tunayoyaona yanajengwa hapa kwetu na wawekezaji kutoka nje ni mikopo iliyochukuliwa kutokana na dhamana za ardhi ya wenzetu.
Mkopo kama una...
Ni kweli, kama umenipa msaada ndio unaweza kunipangia matumizi, but kukopa unatakiwa uangalie kama narudisha mkopo au laa. Huyu waziri anakimbizana na vitu visivyo na msingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.