Recent content by deog99

  1. deog99

    Namba za huduma kwa wateja wizara ya elimu

    Tunaomba tusaidiwe hii wizara ya elimu walizindua kituo Cha huduma juzijuzi na wakatangaza ila ukipiga simu utakuta namba haipatikani au namba haipokewi tunaomba kusaidiwa kufikisha hii taarifa kwa wahusika
  2. deog99

    Kiongozi wa chama anaweza toa amri mbele ya Kiongozi wa Serikali?

    Tumekuwa tukishuhudia kiongozi ndani ya Chama cha Mapinduzi akitoa maelekezo ili yafanyiwe kazi na Serikali Kuu, lakini pia ningependa kujua wanatoa tamko kwa sababu ndio chama kilichoshika dola au kuwa na viti vingi kwenye bunge? Je, kiongozi wa chama cha upinzani kama CHADEMA kwanini akitoa...
  3. deog99

    Naombeni tofauti ya mifuko hii Faida Fund na UTT Amis

    Ni bora uende pale ofisini kwao utapata majibu sahihi zaidi au pitia kwa wakala wa DSE anaitwa solomoni brokers wanatoa hyo huduma bure
  4. deog99

    KERO Call Centre Utumishi ni kichomi

    Inabidi wawatafute flex.co.tz wanajua sana hizo kazi
Back
Top Bottom