Recent content by deo lyimo

  1. D

    Prof. Mwandosya anena ya moyoni

    Karibu UKAWA Mzee too late is better than never.
  2. D

    A simple Research: Viongozi wa CCM wanaihubiri CHADEMA kuliko chama chao!

    Kujibu ----- wa mtu kama wewe eti kwa kigezo cha kujenga hoja yahitaji unywe kiroba kwanza,jamaa unamponda mtoa mada hapo juu utadhani na wewe huwa unajumuishwa katika misafara ya kwenda nje kulia shida na Rais wako kumbe hata kushikana mkono na magamba wenzio haujawahi,narrow minded kama wewe...
  3. D

    Tundu Lissu azungumzia adhabu ya siku 5

    Tukiacha ushabiki wa vyama humu,kweli asiyemkubali Tundu Lissu basi huyo ni adui wa Taifa letu na anatisha kama msafirisha pembe za ndovu nje ya nchi.
  4. D

    Vitalu vya uwindaji: Kagasheki ashitakiwa Mahakama Kuu

    Kama katibu mkuu wa chama kilichoshika dola anatuhumiwa kusafirisha pembe za ndovu nje sasa tutegemee nini kama si madudu zaidi katika hii IMPOTENT GOVERNMENT.
  5. D

    Adjustment ya Madaraja na Mishahara kwa Walimu

    Ikiwa kweli naacha fani yangu niliyoisomea SUA naenda kupiga diploma miaka miwili.
  6. D

    TCU: Darasa la saba sasa kujiunga na chuo kikuu moja kwa moja

    Katika mfumo huu wa serikali ya chama cha magamba ama kweli hata uwe profesa au dokta ni lazima elimu yako uiache nje ya system.This is shit kivipi std seven awe chuo kikuu.
  7. D

    Kikwete: Sijashindwa kuiongoza Tanzania!

    Huyu jamaa ni kenge kwenye msafara wa Mamba,kama huna hoja ukinyamaza itakuwa busara zaidi,kuliko kuonesha uwezo wako mdogo humu jukwaani.SHAME ON YOU.
  8. D

    Kwa wanaoshabikia mikataba ya China.

    Salute JF!,Kwa wale wavivu wa kufikiri na wafuasi wa Magamba,je ni kweli kwamba serikali inatuaminisha kuwa serikali ya China inatupenda na kutusaidia katika nyanja mbalimbali za kiuchumi?,bila shaka sote tunafahamu matatizo ya matetemeko ya mara kwa mara nchini China kama lile lililotokea juzi...
  9. D

    Full Text: Hotuba ya Prof. Kahigi iliyozua mjadala bungeni hadi bunge kuahirishwa...

    Naona Magamba madogo yamekomaa kuyakingia kifua Magamba makubwa,yanataka yapewe kazi ya kupeleka pembe za ndovu Ughaibuni na katibu wao aliefukuzwa na wananchi Kilosa Morogoro.Ni sawa na mpiga chabo anahisi na yeye anapata raha ya ngono kama wanaofanya ngono.
  10. D

    Tamko la CHADEMA na dhana ya MwanaHalisi

    We mleta mada jaribu kuwa patriotic mbona unaonekana kama una 10% kwenye miradi zaidi ya 16 aliyosaini Mwenyekiti wenu wa Magamba pale magogoni wakajti wa ziara ya Xi Jinping,but in reality waweza kuwa walewale wa t-shirt na pilau,onea huruma Watanzania wenzako ambao hawajui nini hatima yao ya...
  11. D

    "MAAZIMISHO YA DHULUMA YA CCM" Maduka leo kufungwa TANDAHIMBA

    Tuchukue hatua mapema kabla hatujabakia mifupa.Wajukuu watatuuliza maswali magumu tushindwe kujibu.CCM NI MBAYA KULIKO HATA SHETANI.
  12. D

    BUNGENI: Peter Serukamba(CCM) atukana tusi kali, "F*** you"

    Masaburi alishawaambia wanatumia M.A.T.A.K.O kufikiria,so hata haishangazi as long as ni Magamba yaleyale ya sera zilezile kwa masikini walewale wa Tanzania.
  13. D

    Madudu ya polisi Kibaha katika mkutano wa uzinduzi wa M4C kanda ya Pwani uliofanyika Kibaha

    Mabadiliko hayawezi kupingwa na mtu yeyote,just a matter of time.
  14. D

    Karipio kali la Mwanakijiji kwa CHADEMA na Majibu ya Dr. Slaa

    Nahisi sio lazima kuchangia kila kitu humu.
  15. D

    Wakati swala la ugaidi halijaisha, wengine wakamatwa ndani ya gari la M4C

    Only a fool can stand before people and support CCM,We mtoa mada unaongea kama unaishi ughaibuni vile.Ni bora Chadema kuna elements tena wanachama wa kawaida ambao sometimes wanatumiwa na Magamba kuchafua reputation ya cdm kwa walio wavivu wa kufikiri,kuliko nyinyi ambao kuanzia top leaders ni...
Back
Top Bottom