Recent content by Deo chacha

  1. D

    Yusuph Mwenda: Kati ya watanzania Milioni 62, wanaolipa kodi ni Milioni 2 tu

    Kila bidhaa inayonunuliwa na mlaji wa MWISHO inalipiwa kodi hadi sanda ya maiti. Mnataka kodi gani zaidi iliyosahaulika? Mumetengeneza ajira ngapi mpya ili kuongeza walipa Kodi?
  2. D

    Tazama ushahidi huu wa kimahesabu wa Michango ya Lissu Unaothibitisha CHADEMA haifikishi wanachama hata million Moja

    Imara madhubuti kwa wizi na ufisadi na uuaji.unyang'anyi iwekwe pema mahala pake roho marehemu jiwe.
  3. D

    Bila ya CCM, Tanzania ingepoteana

    Mtoa post umevurugwa
  4. D

    Kiboko cha EU lazima kituchape kuhusu Ngorongoro

    Haya twende kazi. Katika maajabu ya dunia tunaongoza
  5. D

    Naibu Waziri Mkuu majukumu yake Kikatiba ni yapi? Wafahamu waliowahi kuwa Manaibu Waziri Wakuu nchini

    Sawa na waziri asie kuwa na wizara maalum ofisi ya Rais.
  6. D

    Ni uongo Kudai 80% Walikataa Mfumo wa Vyama Vingi

    Mwambie au mkumbushe mwaka 90 na 91 kulikuwa na tukio gani la kitaifa kuhusiana na mfumo wa vyama.
  7. D

    Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya

    Bado tuna wapumbavu wengi sana nchi hii. Kwamba kuna watu wanafurahia uovu unaofanywa na serikali hii?
  8. D

    Mauzo ya kitabu cha kumchafua Hayati Magufuli yadoda

    Yaani hapa umehamasisha watu wakitafite na kukisoma
  9. D

    Serikali yaomba siku 14 kumjibu Mkulima aliyewashtaki Mawaziri

    Mkulima hongera sana kwa kuthubutu kuamsha taifa
Back
Top Bottom