Hakuna lisilowezekana naamini, jambo la kufanya ni kuwalazimisha serikali mpaka wafanye kile wananchi wanataka.
Kutangazwa ni hatua ya kwanza, kitachofuata ili kulazimisha utekelezaji wa hilo ndio muhimu zaidi.
Mkumbuke haya mambo hayaji tu kama kupokea mkate kwenye sahani, lazima yapiganiwe...
"Samia must Go" ndio itakuwa hashtag kule X?!
Not enough!.
Nasubiri wakutane waje na azimio lingine, haya mambo ni field zaidi sio kuandika huku na kule.
Inapendeza kuisoma hiyo ultimatum waliyoipa serikali, watekaji lazima wasukumwe kwenye kona ngumu wachague kuwatoa walipowaficha mareka, au maandamano nchi nzima yasiyo na kikomo.
Ukiogopa kuandamana, kaa usubiri kutekwa, uteswe, kisha wakakutupe watapopenda wenyewe.
Kama wameshawaua...
Pale Magomeni palikuwepo na bar moja maarufu kipindi fulani, kuna wasanii wawili wa bongo fleva waliwahi kuzibuliwa mitaro na bosi mmoja wa Wasafi, na bahati mbaya hao wasanii wameshapotea kwenye game ila mmoja ndio aliamua kuhamia Mombasa kwa shughuli zake za muziki.
Paragraph yako ya kwanza ya maswali umeonesha ulivyo tawaliwa na emotions, ukiwa hivyo utashindwa kutetea hata ukweli ulio wazi, utashindwa kesi kirahisi sana hata kama haki iko upande wako, rilaxx.
▪ Nani aliyekwambia kwenye siasa hakuna kushawishiana?
▪ Nani aliyekwambia kwenye suala la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.