Kiongoz wako alisema anasafir kwenda inje maranyingi kutafuta wahisani wakuendesha nchi yetu wabunge wa ccm wakafrahia na kupiga makofi. Juz mheshimiwa magufr kasema kunawatu wamesafir sana safar za inje kuliko kwenda kuwatembelea wazazi wake makofii kibao. Mkuu hapa wewe unajifunza nini...
Mkuu mda bado wakumjaji kua kafanya vizr. Hatukatai mkuu dalili ya mvua nimawingu lakin tambua kua haraka haraka haina baraka. Tumuombe mungu atutoe hapa tulipo.
Mkuu pole kwa kazi. Ila pole pia kwakutokutumia ubongo wako kuchanganua mambo. Hao wote ulowataja niwanasiasa na huyo dada alikua mwanasheria wa serikali. Kumbuka kuwa kunabaadhi ya taasis hazitakiwi kufungaman kisiasa. Ipo siku hata jeshi la wananchi mtatamani liwe la chama tawala. Kueni makin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.