Watatoaje majina kabla ya usaili? Tunatakiwa tufatilie huku katani na wilayani kwa wale wa Tehama, coz walisema watatumia no zetu za simu kutuita kwny usaili.
Salaam wakuu ninahitaji chumba single cha kupanga kwa ajili ya kukaa mwanafunzi maeneo ya kimara korogwe au kimara-mwendokasi kisichozidi 40,000/- kwa mwezi.
Kianzio 120,000/-
Usisahau kwamba hiki ni kikundi cha watu wengi wasiojulikana ukisikia wameuwawa haimaanishi kwamba polisi wamemaliza kazi hapana bado ni mwanzo tu wa mapambano
Ikiwa watu wangu walioitwa kwa jina langu watajinyenyekesha na kuomba, nami nitasikia kilio chao na kuiponya nchi. It will never end if we 'll escape this word
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.