Recent content by Dennis Robert Shughuru

  1. Dennis Robert Shughuru

    Tumtengeneze Mwigulu kuwa Rais bora ajae

    Mwigulu hana lolote wadanganye ambao hawaishi Tanzania Deni la Taifa linapaa kila uchwao alafu unasema tunakusanya sana hayo makusanyo yanafaida gani ilihali deni kila siku linapaa
  2. Dennis Robert Shughuru

    Tumtengeneze Mwigulu kuwa Rais bora ajae

    Mbona Magufuli alishamfukuza uwaziri baadae akamchagua tena
  3. Dennis Robert Shughuru

    Wakili Marijani: Mnyika ameupotosha Umma, shauri la mgawanyo wa mali wa CHADEMA

    Tundu lissu ni kilema na yupo jela Mdude nyagali kapotea Ben saanane kapotea Hawa ni wanasiasa unaposema wanasiasa haumii ni wazi unatumia ushabiki wa kisiasa na sio akili
  4. Dennis Robert Shughuru

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Huyo jamaa ni mjinga yaani analazimisha tukubali ushoga kwa kichaka cha human rights Alafu cha ajabu ni kama watu wanamuogopa mimi siwezi sababu alishaniweka kwenye ignore list ni mtu wa ajabu sana Watanzania tunaamini kwenye human rights ila ushoga sio sehemu ya human rights sio kila jambo...
  5. Dennis Robert Shughuru

    Mshangao; KFC ni kwa ajili ya masikini nchi zilizoendelea ila Africa ni kwa ajili ya matajiri!

    Unadhani kuniita maskin umenikeraaa 🤣🤣🤣🤣 we niite maskin labda ndo furaha yako ilipo Hizo hatua nimeshavuka za kuwashambulia watu personal mfano mimi nikutuhumu wewe ni maskini napata faida gani sababu hata sikujui Hata serikalini wanaolipwa zaidi ya million ni wachache na hii comment...
  6. Dennis Robert Shughuru

    Mshangao; KFC ni kwa ajili ya masikini nchi zilizoendelea ila Africa ni kwa ajili ya matajiri!

    Jamaa huwaga anaubishi wa kitoto sana na kila mara anataka yeye ashinde Umempa kila kitu watu ila anakubishia
  7. Dennis Robert Shughuru

    Mshangao; KFC ni kwa ajili ya masikini nchi zilizoendelea ila Africa ni kwa ajili ya matajiri!

    Acha uongo maskini wa Tanzania hawana mda hata na KFC Mtu anaingiza elfu tano au kumi kwa siku umuuzie kuku elfu 20 ilihali anaweza nunua kwa elfu 1500 Uliza randomly maeneo ya uswahilini kama hata wanahabari na kfc Watu wanashindia miguu ya kuku, vichwa na dagaa Michele aende akatoe elfu 20...
  8. Dennis Robert Shughuru

    Kwa maelezo haya ya Dudu Baya ukiwa na hela bora ukatibiwe India

    Hivyo ulivyovitaja vinahitaji fedha ila dini inahitaji imani na sio fedha
  9. Dennis Robert Shughuru

    Muhimbili watolea ufafanuzi Hoja zilizotolewa na Dudubaya kuhusu MRI

    Ingetakiwa kila ukanda kuwe na mashine za kisasa za mRI za billion 17 Dsm ziwe kama tano nikimaanisha muhimbili, amana, mwananyamala na mlonganzila wanatakiwa kuwa nayo Kanda ya kaskazini zinatakiwa ziwepo, kanda ya ziwa, lindi na mtwara, nyanda za juu kusini Uwezo huo tunao kama tukiamua...
  10. Dennis Robert Shughuru

    Hizo propaganda zina mwisho wake mmoja au wawili lazima anywe kikombe

    Sikutaka kuchangia uzi ila kuna moment mbili zimenifanya nichangie uzi kwanza mtu anakuambia iran amefuta kambi za marekani middle East pili amesema marekani anamuomba mafuta urusi aisee imenishangaza sana Yaani marekani anamiaka zaidi ya 10 amemuekea vikwazo iran, na miaka zaidi ya minne...
  11. Dennis Robert Shughuru

    Hivi kwanini Iran huwa hailichukulii kwa uzito suala la usalama wa viongozi wake?

    Sio ukweli kuna wananchi wa iran wengi sana hawaupendi utawala wa ayatollah na wengine wapo kwenye maamuzi na ndo hawa wanaovujisha siri Nchi ikikosa umoja ni rahisi kwa maadui zake kutekeleza maono yao
Back
Top Bottom