Recent content by Dennis Robert Shughuru

  1. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Jiji la Dar es salaam linatakiwa kuwa na stendi 7 au 8

    Umeshamfikiria mtu anayekaa kigamboni
  2. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Jiji la Dar es salaam linatakiwa kuwa na stendi 7 au 8

    Kama isemavyo kichawa cha habari kisemavyo Dsm kunatakiwa kuwe na stendi kama 7 au 8 Mbezi Ubungo Chanika Mbagala Kigamboni Kigamboni Tegeta bunju Kinondoni Na hizo stendi kuwe na private terminal mfano wa zile zilizopo shekilango
  3. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania LATRA: Mabasi yote yaishie Stendi ya Magufuli na Mbagala

    Imagine mtu anakaa chanika ila unamlazimisha aende mbezi
  4. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania LATRA: Mabasi yote yaishie Stendi ya Magufuli na Mbagala

    Mtu anakaa kigamboni unamlazimisha aje mbezi sikujuaga ni mjinga hivi
  5. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Mawakili zaidi ya 390 wa Tanzania Bara Hatarini Kupoteza Uwakili wao

    Uzoefu ndo nini wakasome kama wenzao
  6. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Mawakili zaidi ya 390 wa Tanzania Bara Hatarini Kupoteza Uwakili wao

    Wakosome kama wenzao acha kutetea ujinga Wenzao walisoma kwa shida na tabu
  7. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Angalia uzi zango zote zipo humu kwa hili jina alafu ndo utanjua mimi ni nani na msimamo wangu Na nina account tiktok kwa hili jina langu kule ndo nimewekeza nguvu sana kaangalie content zangu alafu ujipime kama mimi ni chawa au la Nchi haiwezi kombolewa na watu waliojificha kwenye majina...
  8. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Sibishanagi na mafisi a.k.a waoga nabishanaga na watu majasiri wasio ogopa
  9. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Anza kutumia jina halisi kama mimi ndo tuje tubishane Unajificha kwenye jina bandia alafu unajiona mjanja
  10. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Wewe ni mjinga sana juzi umeshindwa kujibu hoja umeishia kuniita chawa Endelea kuniita chawa labda ndo furaha ya moyo wako
  11. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Uwanja uliokosti billion 19 ndio huu au kuna mwingine?

    Billion 2 zinatosha uwanja wa kmc
  12. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Mimi kusema ni sahii na sawa kwa nchi kuwa na crude oil refinery ni kosa na unaniweka kundi moja na machawa sikujua wewe ni mjinga hivi
  13. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Kondakta wa daladala hana maisha mazuri licha kulala na pesa nzuri

    Hawapokei 30 kwa siku Hiyo elfu 30 unakuta anatakiwa kugawana na dereva na mara nyingi inakua pungufu
Back
Top Bottom