Kuomba Mungu akupe akili nyingi sana kwenye biashara au kazini
👇👇👇👇
YESU WA KRISTO WA NAZARETH+(Mithali 30:24-28)+(sehemu unayotaka upewe akili)+DRS+(Taja jina la mtu unayemuombea na sehemu unayotaka apewe akili, na kama hakuna mtu unayemuombea ishia hapo kwenye DRS)
👇👇👇👇
Utamke kimoyo moyo na...
Kwa anayetafuta kazi yupo unemployed au kama unaenda kwenye interview
👇👇👇👇
YESU KRISTO WA NAZARETH+(Mithal 17:8)+DRS+(Kama unamuombea mtu ambaye hana ajira mtaje jina lake, kama unajiombea wewe binafsi ishia hapo kwenye DRS)
👇👇👇👇
Itamke kimoyo moyo utapata kibali cha kupata ajira na nyota yako...
Wewe mtu akisoma maoni yako tu anaona bado hujui taratibu za uongozi anayekusupport ni yule asiyejua taratibu za uongozi kama wewe
Ulishawahi jiuliza kwanini walisema Rais angalau awe na miaka 40 na sio 30 au 25
Kila taasisi ina taratibu kama unaona huwezi kufuata taratibu za taasisi achan nayo hujalazimishwa kuwa mwanachama
Kutokutoa pole ya msiba haiwezi kuwa sababu ya wewe kukimbia nchi
Kila organization inataratibu zake na mipaka yake kwenye mambo mengi watu wamekuwa wakikituhumu chadema ni chama cha kidekteta na kinaminya uhuru wa maoni baada ya maoni lema ila ni kwa sababu wengi hawajui hizi taasisi zinafanyaje kazi wengi ni keyboard warrior
Kuna member anaitwa Robert...
Kuna watu wanavipaji vikubwa na wanakufaa njaa nenda uko uswahilini uone
Tatizo unapenda sana kuongelea story za kufikirisha
Ukitembelea Nyumba tatu moja wapo utakuta watoto wenye degree ila kuna watu wengi wenye degree na wanaendesha bodaboda ujuzi wanao hawana kazi
Wengi wetu tunamani mafanikio ila hatutaki kuyapigania kwa sababu yana gharama sisi tunataka mafanikio yaje kama fluke
Mimi nilikuwa nafanya kazi sehemu flani miaka ya nyuma kuna mfanyakazi alikuwa analipwa laki 8 ila kapanga nyumba ya million watu walimuona mjinga ila kwa malengo jamaa...
Kusomesha mtoto shule za gharama ni malengo na uwekezaji
Unafikiri mimi nayemsomesha mtoto IST au breburn na wewe unayemsomesha kayumba watakuwa sawa
Huyu wa kwangu IST classmate wake tu wanatosha kumpa connection za maisha sababu wazazi wao ni matajiri na wanamiliki viwanda
Wewe wa kwako wa...
Ukweli ni kwamba ili ufanikiwe lazima uwe na malengo makubwa zaidi ya kipato chako na ambitious kubwa ndo utafanikiwa
Akili inafanya kazi ikiwa under-pressure na sio tofauti na hapo
Lazima uwe mtu wa kuforce
Lakini sikushangai watanzania wengi tunapenda kurithika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.