Kama unaona ni sawa wanafunzi walio wengi kuendelea kusoma kwenye mazingira yaliyopo
Na hayo mambo sio marahisi hata kodogo ndo maana mpaka leo baada ya miaka 60 ya uhuru bado yapo wanafunzi wanakaa chini
Kuna habari nimeona ya watu wa sinza wanalalamika hawapewi ushirikiano juu ya mradi wa maendeleo wa sinza uliopendekezwa wa kuboresha eneo la sinza binafsi umenifikirisha sana
Plus mwezi wa nne kulikuwa na mradi wa kujenga refining Tanga na dangote mara ikawa mombasa na mpaka sasa hivi bado...
Ukizidisha uhuni na starehe kwa sana lazima utatumia madawa at some point
Wengi sana wameshaonja madawa kwenye maisha yao ya uhuni ila wengine miili yao imegomea hayo madawa, wengine wanatumia ila hawana addiction ila ni watumiaji au walishatumia wao wenyewe wakaacha
Tatizo la madawa ya...
Jpm alikuwa bize na kuua jongoo yaani aliamini chadema ni maadui binafsi nilimdharau sana yaani unahangaika na wabunge na madiwani wa chadema kama maadui ilihali kulikuwa na nyoka kibao wamejaa huko ccm
Matokeo yake nyoka wakamngata ila minawalaumu sana wakina polepole, bashiru hawa ni watu wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.