Mwigulu hana lolote wadanganye ambao hawaishi Tanzania
Deni la Taifa linapaa kila uchwao alafu unasema tunakusanya sana hayo makusanyo yanafaida gani ilihali deni kila siku linapaa
Tundu lissu ni kilema na yupo jela
Mdude nyagali kapotea
Ben saanane kapotea
Hawa ni wanasiasa unaposema wanasiasa haumii ni wazi unatumia ushabiki wa kisiasa na sio akili
Huyo jamaa ni mjinga yaani analazimisha tukubali ushoga kwa kichaka cha human rights
Alafu cha ajabu ni kama watu wanamuogopa mimi siwezi sababu alishaniweka kwenye ignore list ni mtu wa ajabu sana
Watanzania tunaamini kwenye human rights ila ushoga sio sehemu ya human rights sio kila jambo...
Unadhani kuniita maskin umenikeraaa 🤣🤣🤣🤣 we niite maskin labda ndo furaha yako ilipo
Hizo hatua nimeshavuka za kuwashambulia watu personal mfano mimi nikutuhumu wewe ni maskini napata faida gani sababu hata sikujui
Hata serikalini wanaolipwa zaidi ya million ni wachache na hii comment...
Acha uongo maskini wa Tanzania hawana mda hata na KFC
Mtu anaingiza elfu tano au kumi kwa siku umuuzie kuku elfu 20 ilihali anaweza nunua kwa elfu 1500
Uliza randomly maeneo ya uswahilini kama hata wanahabari na kfc
Watu wanashindia miguu ya kuku, vichwa na dagaa Michele aende akatoe elfu 20...
Ingetakiwa kila ukanda kuwe na mashine za kisasa za mRI za billion 17
Dsm ziwe kama tano nikimaanisha muhimbili, amana, mwananyamala na mlonganzila wanatakiwa kuwa nayo
Kanda ya kaskazini zinatakiwa ziwepo, kanda ya ziwa, lindi na mtwara, nyanda za juu kusini
Uwezo huo tunao kama tukiamua...
Sikutaka kuchangia uzi ila kuna moment mbili zimenifanya nichangie uzi
kwanza mtu anakuambia iran amefuta kambi za marekani middle East
pili amesema marekani anamuomba mafuta urusi aisee imenishangaza sana
Yaani marekani anamiaka zaidi ya 10 amemuekea vikwazo iran, na miaka zaidi ya minne...
Sio ukweli kuna wananchi wa iran wengi sana hawaupendi utawala wa ayatollah na wengine wapo kwenye maamuzi na ndo hawa wanaovujisha siri
Nchi ikikosa umoja ni rahisi kwa maadui zake kutekeleza maono yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.