Recent content by Dennis Robert Shughuru

  1. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Nikiwa Rais ntahakikisha wanafunzi wote wa shule za msingi hawakai chini na secondary wanasoma elimu inayowapa skills

    Miaka 60+ ya uhuru wanafunzi wanakaa chini, walimu hakuna na madarasa kama magofu alafu unaona ni sawa na unategemea uendelee hiki ni kituko
  2. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Nikiwa Rais ntahakikisha wanafunzi wote wa shule za msingi hawakai chini na secondary wanasoma elimu inayowapa skills

    Kama unaona ni sawa wanafunzi walio wengi kuendelea kusoma kwenye mazingira yaliyopo Na hayo mambo sio marahisi hata kodogo ndo maana mpaka leo baada ya miaka 60 ya uhuru bado yapo wanafunzi wanakaa chini
  3. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Nikiwa Rais ntahakikisha wanafunzi wote wa shule za msingi hawakai chini na secondary wanasoma elimu inayowapa skills

    Unafanya jambo jipya lipi ilihali kuna kero nyingi kama nchi zimetushinda
  4. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Nikiwa Rais ntahakikisha wanafunzi wote wa shule za msingi hawakai chini na secondary wanasoma elimu inayowapa skills

    Tunataka maendelea mda huo wanafunzi wanakaa chini, plus maji sio ya uhakika huwezi endelea
  5. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Nikiwa Rais ntahakikisha wanafunzi wote wa shule za msingi hawakai chini na secondary wanasoma elimu inayowapa skills

    Hizi akili zako ndo viongozi wengi waliokuwa nazo Watu wanamaliza kusoma hawana skills yeyote alafu unaona ni sawa basi hii ni hatari sana
  6. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Nikiwa Rais ntahakikisha wanafunzi wote wa shule za msingi hawakai chini na secondary wanasoma elimu inayowapa skills

    Hakuna maendeleo kama elimu ni mbovu kama ilivýo sasa
  7. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Nikiwa Rais ntahakikisha wanafunzi wote wa shule za msingi hawakai chini na secondary wanasoma elimu inayowapa skills

    Miundombinu inaboreshwa kwa sahivi ni mibovu na huwezi endelea kwa kuwa na Miundombinu mibovu kama ilivyo sasa ya shule
  8. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Nikiwa Rais ntahakikisha wanafunzi wote wa shule za msingi hawakai chini na secondary wanasoma elimu inayowapa skills

    Sio lazima uwe kwenye siasa umiliki vitu kama hivyo hata sasa hivi unaweza miliki
  9. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Nikiwa Rais ntahakikisha wanafunzi wote wa shule za msingi hawakai chini na secondary wanasoma elimu inayowapa skills

    Kuna habari nimeona ya watu wa sinza wanalalamika hawapewi ushirikiano juu ya mradi wa maendeleo wa sinza uliopendekezwa wa kuboresha eneo la sinza binafsi umenifikirisha sana Plus mwezi wa nne kulikuwa na mradi wa kujenga refining Tanga na dangote mara ikawa mombasa na mpaka sasa hivi bado...
  10. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Kigogo wa NRM Agro Limited na wenzie 10; Mahakamani kwa makosa ya dawa za kulevya

    Ukizidisha uhuni na starehe kwa sana lazima utatumia madawa at some point Wengi sana wameshaonja madawa kwenye maisha yao ya uhuni ila wengine miili yao imegomea hayo madawa, wengine wanatumia ila hawana addiction ila ni watumiaji au walishatumia wao wenyewe wakaacha Tatizo la madawa ya...
  11. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania John Heche: Magufuli alikuwa bora kusimamia rasilimali na kurekebisha ujinga

    Jpm alikuwa bize na kuua jongoo yaani aliamini chadema ni maadui binafsi nilimdharau sana yaani unahangaika na wabunge na madiwani wa chadema kama maadui ilihali kulikuwa na nyoka kibao wamejaa huko ccm Matokeo yake nyoka wakamngata ila minawalaumu sana wakina polepole, bashiru hawa ni watu wake...
  12. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Ayoub Rioba wa TBC Baada ya Kuchukua Mamilioni ya Kustaafu Sasa Arudi Na Ziara ya URUSI!

    Sijawahi Onaga uwezo wa ayoub rioba japokuwa watu walikuwa wanamsifia sana
Back
Top Bottom