Recent content by Dennis Robert Shughuru

  1. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Namna neno la Mungu kutoka kwenye Biblia linavyoweza kukupa MAARIFA kwenye maisha yako

    Kuomba Mungu akupe akili nyingi sana kwenye biashara au kazini 👇👇👇👇 YESU WA KRISTO WA NAZARETH+(Mithali 30:24-28)+(sehemu unayotaka upewe akili)+DRS+(Taja jina la mtu unayemuombea na sehemu unayotaka apewe akili, na kama hakuna mtu unayemuombea ishia hapo kwenye DRS) 👇👇👇👇 Utamke kimoyo moyo na...
  2. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Namna neno la Mungu kutoka kwenye Biblia linavyoweza kukupa MAARIFA kwenye maisha yako

    Kwa anayetafuta kazi yupo unemployed au kama unaenda kwenye interview 👇👇👇👇 YESU KRISTO WA NAZARETH+(Mithal 17:8)+DRS+(Kama unamuombea mtu ambaye hana ajira mtaje jina lake, kama unajiombea wewe binafsi ishia hapo kwenye DRS) 👇👇👇👇 Itamke kimoyo moyo utapata kibali cha kupata ajira na nyota yako...
  3. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Namna neno la Mungu kutoka kwenye Biblia linavyoweza kukupa MAARIFA kwenye maisha yako

    Niletee andiko linasema umri wa maria wakati anaolewa
  4. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Lema amekosea kujua msimamo wa chama chake nyakati hizi na hatuna uhuru huo ambao tunadhani tunao

    Wewe mtu akisoma maoni yako tu anaona bado hujui taratibu za uongozi anayekusupport ni yule asiyejua taratibu za uongozi kama wewe Ulishawahi jiuliza kwanini walisema Rais angalau awe na miaka 40 na sio 30 au 25
  5. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Lema amekosea kujua msimamo wa chama chake nyakati hizi na hatuna uhuru huo ambao tunadhani tunao

    Vijana wadogo hamjui abc za uongozi ndo maana kwenye uongozi tunataka watu wazee wenye uzoefu na sio vijana wenye mihemko
  6. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Lema amekosea kujua msimamo wa chama chake nyakati hizi na hatuna uhuru huo ambao tunadhani tunao

    Siku ukiwa kiongozi wa taasisi flani ndo utaelewa nachoongea
  7. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Lema amekosea kujua msimamo wa chama chake nyakati hizi na hatuna uhuru huo ambao tunadhani tunao

    Siku ukiwa kiongozi wa taasisi flani ndo utaelewa nachoongea
  8. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Lema amekosea kujua msimamo wa chama chake nyakati hizi na hatuna uhuru huo ambao tunadhani tunao

    Hata jamiiforum kuna watu wanapigwa ban na wengi nyuzi zao kufutwa Huna huo huru unadhani unao, uhuru unao ila unamipaka
  9. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Lema amekosea kujua msimamo wa chama chake nyakati hizi na hatuna uhuru huo ambao tunadhani tunao

    Kila taasisi ina taratibu kama unaona huwezi kufuata taratibu za taasisi achan nayo hujalazimishwa kuwa mwanachama Kutokutoa pole ya msiba haiwezi kuwa sababu ya wewe kukimbia nchi
  10. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Lema amekosea kujua msimamo wa chama chake nyakati hizi na hatuna uhuru huo ambao tunadhani tunao

    Kila organization inataratibu zake na mipaka yake kwenye mambo mengi watu wamekuwa wakikituhumu chadema ni chama cha kidekteta na kinaminya uhuru wa maoni baada ya maoni lema ila ni kwa sababu wengi hawajui hizi taasisi zinafanyaje kazi wengi ni keyboard warrior Kuna member anaitwa Robert...
  11. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Msanii DJ Choka anavyo thibitisha kwa vitendo mantiki ya Making Kayumba Schools Great Again ( Makaga campaign) ya Likud

    Sema watanzania wako gizan sana ndo maana nchi iko hivi kama ilivyo mtu
  12. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Msanii DJ Choka anavyo thibitisha kwa vitendo mantiki ya Making Kayumba Schools Great Again ( Makaga campaign) ya Likud

    Kuna watu wanavipaji vikubwa na wanakufaa njaa nenda uko uswahilini uone Tatizo unapenda sana kuongelea story za kufikirisha Ukitembelea Nyumba tatu moja wapo utakuta watoto wenye degree ila kuna watu wengi wenye degree na wanaendesha bodaboda ujuzi wanao hawana kazi
  13. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Msanii DJ Choka anavyo thibitisha kwa vitendo mantiki ya Making Kayumba Schools Great Again ( Makaga campaign) ya Likud

    Wengi wetu tunamani mafanikio ila hatutaki kuyapigania kwa sababu yana gharama sisi tunataka mafanikio yaje kama fluke Mimi nilikuwa nafanya kazi sehemu flani miaka ya nyuma kuna mfanyakazi alikuwa analipwa laki 8 ila kapanga nyumba ya million watu walimuona mjinga ila kwa malengo jamaa...
  14. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Msanii DJ Choka anavyo thibitisha kwa vitendo mantiki ya Making Kayumba Schools Great Again ( Makaga campaign) ya Likud

    Kusomesha mtoto shule za gharama ni malengo na uwekezaji Unafikiri mimi nayemsomesha mtoto IST au breburn na wewe unayemsomesha kayumba watakuwa sawa Huyu wa kwangu IST classmate wake tu wanatosha kumpa connection za maisha sababu wazazi wao ni matajiri na wanamiliki viwanda Wewe wa kwako wa...
  15. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Msanii DJ Choka anavyo thibitisha kwa vitendo mantiki ya Making Kayumba Schools Great Again ( Makaga campaign) ya Likud

    Ukweli ni kwamba ili ufanikiwe lazima uwe na malengo makubwa zaidi ya kipato chako na ambitious kubwa ndo utafanikiwa Akili inafanya kazi ikiwa under-pressure na sio tofauti na hapo Lazima uwe mtu wa kuforce Lakini sikushangai watanzania wengi tunapenda kurithika
Back
Top Bottom