Kama isemavyo kichawa cha habari kisemavyo
Dsm kunatakiwa kuwe na stendi kama 7 au 8
Mbezi
Ubungo
Chanika
Mbagala
Kigamboni
Kigamboni
Tegeta bunju
Kinondoni
Na hizo stendi kuwe na private terminal mfano wa zile zilizopo shekilango
Angalia uzi zango zote zipo humu kwa hili jina alafu ndo utanjua mimi ni nani na msimamo wangu
Na nina account tiktok kwa hili jina langu kule ndo nimewekeza nguvu sana kaangalie content zangu alafu ujipime kama mimi ni chawa au la
Nchi haiwezi kombolewa na watu waliojificha kwenye majina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.