Recent content by Denis Mtani

  1. D

    JamiiForums Tanzania Vita dhidi ya Ujangili: Serikali yakanusha habari za Daily Mail

    Wao wakanushe tu lakn watanzania bado hatuwaamin viongoz wetu katika kulinda na kutetea masilahi ya wananch, hivyo kukanusha kwa taarifa hzo ni sawa na kurudisha uhusiano kwa mwanamke uliyempa talaka 3 hata akikusikiliza hatakwamini kamwe...hicho ndo serikali yetu inachofanya
  2. D

    JamiiForums Tanzania Sheria za Tanzania

    Ni kweli kuwa sheria za nchi yetu pamoja na mfumo wa mahakama hapa Tanzania unazikabili changamoto za kijamii, kisiasa, kiuchumi na hata kiutamaduni?
  3. D

    JamiiForums Tanzania Adhabu ya kunyonga hadi kufa imepitwa na wakati?

    Ndiyo imepitwa na wakati, kwani tukiangalia lengo la hukumu ya kifo kama adhabu kwa wahalifu haijafaulu, adhabu ipo lakini watu bado wanaua labda kama llengo ni kulipiza kisasi(REVENGE) bas haijapitwa na wakati lakin kama ni (DETERENCE) IMEPITWA NA WAKATI
  4. D

    JamiiForums Tanzania Je nitakuwa na kosa gani kama nitamwoa msichana wa darasa la saba?

    Tumia hyo shahada yako vizuri, mpaka hapo mm kama human right fighter umeshanikwaza kwa sababu una elimu lakini unaonesha ubaguzi wa kimapenz kwa kigezo cha elimu, mmuoe kisha umpeleke shule sidhani kama yye hakupenda shule yawezekana ni kutokana na sabbu mbalimbali kama umaskin n.k
Back
Top Bottom