Napenda sana kufuatilia hadithi za ujasusi na Intelijensia ni Msimuliaji gani aliye bora katika eneo hili? Na katika digital platforms anapatikana kwa jina lipi?
Kama kichwa kinavyojieleze, ikiwa unasoma, au umewahi kusomea Open University kwa Bsc. Education, naomba tujuane tupeane uzoefu wa namna ya kutoboa kozi hii.
Asanteni
Umepata kweli.make mi nipo HKMU first batch jina lngu halikuwepo lkn baada ya muda nliingia heslb nkakuta breadown bila kujazwa chchote kwenda chuon nkakuta hyo majn na lang limo so ndo nkacheki hyo hla walonipa
Mkuu usizan kama utawekewa kias kene hyo profile hivo utavionea chuo mi mwenyewe nshapewa mkopo na nkajua kias changu na kila kitu lkn nkienda kene profl nakuta brk down haijajazwa so nenda chuon ndo utaona hzo garama ulizolipiwa.vingnevo utasbr mpka bhas
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.