Recent content by demigod

  1. demigod

    SImba SC ajipange upya kwa Msimu ujao, habari imekwisha kwa Mkapa

    Mmecheza na Al Ahly yenye majeruhi ya wachezaji 5 na bado wamewafunga nyumbani kwenu.
  2. demigod

    SImba SC ajipange upya kwa Msimu ujao, habari imekwisha kwa Mkapa

    Watani jiandaeni kwa msimu ujao.
  3. demigod

    SImba SC ajipange upya kwa Msimu ujao, habari imekwisha kwa Mkapa

    Mkakati wa Al ahly kwenye hatua ya mtoano laiti kama angekutana na Yanga SC hapa Taifa kwenye hatua ya mtoano kama hii basi hii mechi ingeisha leo. Sioni Simba wanaweza kwenda Cairo kutoboa ktk fixture ya marudiano. SIONI kwakweli. Hii ni robo fainali ya 5 Simba anashindwa kwenda nusu. Game...
  4. demigod

    Shabiki Wa Simba Kuishabikia Yanga, Wa Yanga Kuishabikia Simba ni Uzalendo Wa Kipuuzi

    Upumbavu wa solidarity ndio unazaa matokeo kama haya.
  5. demigod

    Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

    Kwaiyo mwenye mamlaka ya kupewa ufunuo wa maandiko ni MUDI peke yake? Kwaiyo Mungu alishindwa Kuwafunulia wengine? Hebu mwambie akupe jawabu.
  6. demigod

    Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

    Naona umeyumbishwa na mitazamo ya Atheist. Ok labda nianzie hapa ambapo ni rahisi sana kwako. Let us assume Gospel imeandikwa na the third eyewitness au the seventh eyewitness. yupi wa kumuamini kati ya hao na yule aliyekuja kuzaliwa miaka 600 baada ya nyakati zile?
  7. demigod

    Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

    Habari zake naziamini kwasababu hazikuwa inspire na binadamu wa kawaida. Habari zake zimekuwa inspirred na Roho Mtakatifu kupitia Manabii.
  8. demigod

    Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

    Hujajibu swali. Zingatia uzi. Hata mimi nataka sababu ya kwanini nikuamini wewe uliyezaliwa mwaka 1997 na sio wale walio pata kuishi nyakati za Yesu za karne ya kwanza/.
  9. demigod

    Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

    Ni vigumu kwa wewe usiye trinitarian kuweza kufahamu Matayo 27:46 Kama vile sisi wakristo tunavyoshindwa kuielewa Sura ya 33.Al-Ah'zab Mstari wake wa 56. Unaosema Mungu (Allah) na Wanamswalia Mtume. Yaani Mungu (Allaha) na Malaika wanapiga magoti kumswalia Mtume? Aisee. Ukiweza kufahamu huo...
  10. demigod

    Shabiki Wa Simba Kuishabikia Yanga, Wa Yanga Kuishabikia Simba ni Uzalendo Wa Kipuuzi

    Ni upuuzi hata kuanzisha hamasa kudhani kuwa hizi timu zitafanya vizuri tu ikiwa watani zao watawaunga mkono kuwashangilia.
  11. demigod

    Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

    Umeona ni namna gani Msaafu ulivyokuwa sio wa kuaminika? Wewe kama muislamu hukupaswa kuniambia niende google. Ilipasa unipe kifungu kutoka msaafuni then mimi niusome. Hongera!!
Back
Top Bottom