Recent content by demigod

  1. demigod

    Wajibu wa kijinsia na athari zake Vijana Sikilizeni

    Vijana wa kiume, sikilizeni kwa makini. Hamna haki wala uhalali wa kujiingiza katika tendo la ndoa bila kinga na mwanamke ambaye bado hujakutana na wazazi wake, hujazungumza kwa dhati kuhusu ndoa, wala hujaafikiana juu ya hatima ya mimba iwapo ingetokea. Tendo la ngono lisiloambatana na...
  2. demigod

    Hivi Kwanini Raia Namba Moja Anawachukia Sana Vijana wa Tanzania Bara?

    Aisee. Leo kawashikia kiuno vijana wa Tanzania Bara.
  3. demigod

    Hivi Kwanini Raia Namba Moja Anawachukia Sana Vijana wa Tanzania Bara?

    Maana katika Press yake aliongea kitu ya kwamba angelikuwa na uwezo angewakusanya Vijana wote wa Tanzania Bara na kwenda kuwatupa nje ya nchi kama vile Iddi amin Dada alivyokuwa akiwatupa watu kwenye ziwa victoria. Kiashiria kingine ni kwamba Tangu alivyotimiza lengo lake la kupunguza idadi ya...
  4. demigod

    Biblia haikatazi mtu kuoa wake wengi, wanaokataza sijui wanatumia andiko lipi

    “Mume na awe na mke wake mwenyewe, na mke na awe na mume wake mwenyewe.”
  5. demigod

    Biblia haikatazi mtu kuoa wake wengi, wanaokataza sijui wanatumia andiko lipi

    “Basi walio wawili si tena wawili bali mwili mmoja.”
  6. demigod

    Biblia haikatazi mtu kuoa wake wengi, wanaokataza sijui wanatumia andiko lipi

    “Kwa sababu hii mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mke wake; na hao wawili watakuwa mwili mmoja.”
  7. demigod

    PostGE2025 Mwanasheria Mkuu wa Serikali baada ya kuapishwa na Rais, aapa kumkamata Mange Kimambi. Anasema kapewa maelekezo!

    Tunamkumbusha Mhe. Mwanasheria Mkuu kuwa madaraka ni wajibu, si kibali cha kuumiza wengine kwa maneno.
  8. demigod

    PostGE2025 Mwanasheria Mkuu wa Serikali baada ya kuapishwa na Rais, aapa kumkamata Mange Kimambi. Anasema kapewa maelekezo!

    Ofisi ya Mwanasheria Mkuu ni nguzo ya utawala wa sheria. Kauli kama hizi zinapaswa kuakisi hekima, utu, na uadilifu.
  9. demigod

    PostGE2025 Mwanasheria Mkuu wa Serikali baada ya kuapishwa na Rais, aapa kumkamata Mange Kimambi. Anasema kapewa maelekezo!

    Maneno kama haya yanapunguza imani ya wananchi kwa taasisi za kisheria. Tunatarajia busara, si vitisho.
  10. demigod

    PostGE2025 Mwanasheria Mkuu wa Serikali baada ya kuapishwa na Rais, aapa kumkamata Mange Kimambi. Anasema kapewa maelekezo!

    Ni jambo la kusikitisha kuona mtu mwenye dhamana kubwa ya kulinda sheria na haki akizungumza maneno yasiyolingana na hadhi ya ofisi yake. Tunahitaji viongozi wanaotuliza, si wanaochochea.
  11. demigod

    Viscous circle of mistakes done by Tanzanian leaders.

    Tanzania inakabiliwa na pengo kubwa la uongozi bora na utawala bora. Tumekuwa tukifanya makosa kwa muda mrefu kama taifa, jambo ambalo limesababisha matukio yaliyotokea wiki hii. Miongoni mwa hayo ni utekaji, mauaji, kufungwa watu bila haki, kesi za uongo, na ukandamizaji wa upinzani unaofanywa...
  12. demigod

    Hivi Simba mlishindwa nini Kumfuata Diadora moja kwa moja? Hadi mumtumie dalali JEYI-RUTY?

    Beberu la kihaya ni mjanja sana. Kaomba tenda ya bilion 5.6 kwa mwaka, Yeye kaiuza tenda kwa third party ambaye ni DIADORA (kampuni ya vifaa vya michezo kutoka Italy) kwa bilion 7.9 kwa mwaka. Wakati huo huo ako na kamisheni yake kwsnye kil jezi inayouzwa.(Kamisheni approxmatly USD 2 per...
  13. demigod

    Azam FC: Hakuna timu iliyokuja kuzungumza nasi kumuhitaji Feisal Salum

    Yanga watat Umia Bilioni 1 kumvuta Mpanzu.
Back
Top Bottom